Ukija kwangu utakacho kikuta kwangu utakimbia

Ukija kwangu utakacho kikuta kwangu utakimbia

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,374
Siwezi kupoteza pesa nikalipa mlinzi kila mwisho wa mwezi wakati yeye ni binadamu kama mimi.

Wote tunaitaji kulala, kupumzika na kufanya kazi kwa mda.

Nafuga mpaka paka baunsa ukijichanganya lazime ukimbie

IMG_0189.jpg
 
Mtoa mada ametupiga hapo, kuna bwege jingine aliwahi kuleta uzi ety chatu amedaka Kunguru halafu akadondokea nyumbani kwake sasa kuna jamaa akaja na screenshot ya hy picha ikionyesha hilo tukio ni la miaka kumi iliyopita hukooooooo ilitokea nchi za mbele
Nakumbuka mpk Kuna wakuu wakongwe wakasema inatosha kutuchota hvyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom