Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,147
- 190,643
Kimsingi upo sahihi kabisa, kitambo niliwahi kumwambia gf wangu mmoja ambae nilimpenda haswa baada ya kuanza mbwembwe za kuhaha na watu wa kumuoa tukiwa 3rd year.Mkuu hebu tuelewane kitu kimoja kwanza kutokana na mtazamo wa jamii yetu hii inayotuzunguka ambayo inaamini kwamba mwanaume hata afikishe miaka 60 hajaoa bado atapata mwanamke wa kuoa tu ila mwanamke akifikisha miaka 40 tu kupata mwanaume wa kuolewa naye inakuwa ni ishu naomba nikuulize hili swali hivi mwanaume na mwanamke wanapoachana nani kati yao anakuwa anapoteza muda wa kufikia ndoa? Kwani na wanaume kwenye mahusiano huwa mna cha kupoteza ukilinganisha na wanawake?
Nilimwambia nachokikosa mimi kwa sasa ni hela tu na ambazo nitazipata tu with time as long as mimi ni kidume. Other than that sina la kupoteza maana nachotakiwa kuwa na nacho ni pesa tu thamani yangu iko pale pale tabu ataipata yeye anafikiri ndoa ni simple hivyo.
Kwahio kama anafikiri kuvunja uhusiano ndio atakuwa kafanya jambo la maana yeye aende tu maana najua hatafika mbali kwa hizo akili za kitoto. Na kweli nilimuacha free akagongwa na raia wawili watatu waliokuwa wanamzuzua kisha wakapita hivi akawa ametia akili..
Hakuchukua round alirudi kwa magoti akiwa na adabu zote nikamtia vipimo nikaendelea kutafuna kisela. Na sahizi ngawira haisumbui thamani imepanda maradufu. Nikiri kwamba ni kweli thamani ya kidume ni limitless akiwa na afya njema ya uzazi na mawe ila mwanamke ni limited hata akiwa na afya njema ila uzazi na mvuto wake una ukomo.

