Ukiitwa mwanaume tafuta pesa

Ukiitwa mwanaume tafuta pesa

Kuna sehemu umeandika....haijalishi ana pesa AU HANA PESA...ndio maana nimeuliza mwanaume asie na pesa atahudumia vipi familia?
Najua kabisa umeelewa nilichomaanisha ila basi tu ujeuri
 
Kama unauza unategemea kuna mwanaume atakuona wa thamani?
Wanauza kwa sababu wameshajua wanaume hamuwathamani yaani wanaume kuwadharau wanawake hawajaanza leo walianza tangu enzi za biblia
 
Wanauza kwa sababu wameshajua wanaume hamuwathamani yaani wanaume kuwadharau wanawake hawajaanza leo walianza tangu enzi za biblia
Hapana, wanauza kwa sababu zao ikiwemo tamaa. Sio wanaume wote wananunua au kuwadharau wanawake.
 
Tatizo ya wanaume wengi mpo kwenye nadharia kuliko utekelezaji.... Amkeni acheni kuota
 
Hapana, wanauza kwa sababu zao ikiwemo tamaa. Sio wanaume wote wananunua au kuwadharau wanawake.
Mkuu basi acheni kuwashawishi kwa hizo pesa zenu muone kama watakuwa na muda nazo tatizo wanaume hamtaki kukubali kwamba hata nyie pia mna tamaa na mnapenda uzinzi ila kila kitu mnasema chanzo ni wanawake

Yaani kwa kifupi ni kwamba wote hapa wana makosa wanawake wanaouza na wanaume wanaonunua mnasema wanawake wana tamaa na pesa zenu wakati hata nyie mna tamaa na papuchi zao wote wana makosa hapo
 
Mkuu basi acheni kuwashawishi kwa hizo pesa zenu muone kama watakuwa na muda nazo tatizo wanaume hamtaki kukubali kwamba hata nyie pia mna tamaa na mnapenda uzinzi ila kila kitu mnasema chanzo ni wanawake

Yaani kwa kifupi ni kwamba wote hapa wana makosa wanawake wanaouza na wanaume wanaonunua mnasema wanawake wana tamaa na pesa zenu wakati hata nyie mna tamaa na papuchi zao wote wana makosa hapo
Ha ha ha ungekuwa mwanaume ungenielewa. Wanawake wa siku hizi hawahitaji kushawishiwa, wanaweka mitego wenyewe.
 
Ha ha ha ungekuwa mwanaume ungenielewa. Wanawake wa siku hizi hawahitaji kushawishiwa, wanaweka mitego wenyewe.
Wala hata sihitaji kuwa mwanaume ili nijue hili najua wapo wanawake wanaojilengesha wenyewe lakini ni baadhi siyo wote na unajua sababu kwanini wanafanya hivyo? Ni kwa sababu mwanamke akifika umri fulani hana mpenzi au mume jamii inaanza kumnyooshea vidole na kumsema vibaya

Na hii jamii ninayomaanisha ni wote wanaume na wanawake sasa kwa sababu hakuna anayependa kunyooshewa vidole na kusemwa vibaya kwahiyo mwanamke akiona anafika huo umri hatongozwi na wanaume anaowataka basi anaamua kujilengesha kwa wanaume anaowataka kwahiyo hapo bado chanzo ni jinsia zote

Halafu kumbuka wanawake kujilengesha kwenu siyo sababu ya nyie kuwafuata kumbuka hamjashikwa akili na mmepewa uwezo wa kukabiliana na hivyo vishawishi kwahiyo mwanamke aliyekushawishi na wewe mwanaume uliyeshawishika wote mna makosa

Ila kwa vile wanaume wanaokwepa vishawishi ndo wanaonekana washamba basi mnaamua kujiendekeza kuwapitia hao wanawake ili muonekane wajanja lakini si kweli kwamba eti mnashindwa kujizuia mnaweza sana ila basi tu dunia imejaa maovu na imeshaharibika wanaotenda dhambi ndo wanaonekana wajanja na wasiotenda dhambi ndo wanaonekana washamba
 
Kuna mahala nilikuomba uwe lazizi wangu unakumbuka ulinijibu nini?
Nilikujibu najua kuwa tayari una mpenzi kwahiyo mimi kwako nitakuwa mchepuko wako tu na sitaki kuwa mchepuko wa mwanaume yeyote
 
Ukiona mwanaume maneno mengi ujue basi ni hewa sana, ... Mwanaume vitendo banah, maneno tuwaachie dada zetu
 
Nilikujibu najua kuwa tayari una mpenzi kwahiyo mimi kwako nitakuwa mchepuko wako tu na sitaki kuwa mchepuko wa mwanaume yeyote
Njoo kwangu sina mpenzi....ha ha ha
 
Back
Top Bottom