Mfano wa kuuliwa ni irrelevant, thats uncontrolled variable. You dont choose to die it just happens but you can choose to have an affair with someone. Kuuliwa inaendana na kubakwa respectively.
Kiumbe dume ni taftaji kwa asili, hunts for survival. Atatafta kula yake na mates kwa ajili ya kusambaza mbegu zake. Hivyo kutongoza wanawake hakuwezi kuepukwa ni sehemu ya utaftaji mates kwa sisi wanaume.
Vivo hivyo kwenye mapenzi Mwanamke ndio muamuzi wa mwisho, kama ana utashi lazma ajue muda sahihi wa kuvua chupi yake japo kiasili mwanamke huvua chupi kirahisi kwa strong men tu but hio pekee tu haitoshi kuwa sababu. Sote kama binadamu wenye utashi kuliko viumbe vyote lazma tuongozwe na protocol flani tukizikosa lazma shida ziwe sehemu ya maisha yetu.
Usipojua kusema hapana kisa tu kila mtu anakutongoza utapata tabu sana. Zishinde tamaa.