Ukiitwa mwanaume tafuta pesa

Ukiitwa mwanaume tafuta pesa

Bora huyu mdada wa watu kawa mkweli ni muuzaji ila ataishia kukejeliwa humu, wadada muwe wawazi kama huyu bibie sio mnazunguuuka.
 
Naona wanaume wa Dar ambao wapo timu ya alli kiba 100 naona wanatoa povu balaa
 
Hahahh .mbona huwa hauna huruma na wanaume.. Huwa nasoma comment zako ni kuwa kosoa na kuwa kandamiza wanaume kwa nguvu zote ..kumbukuka wanaume ni kaka zako,wajomba, na baba yako ..so inabidi ututhamini ..na kutujali binti
Sure mkuu, inaelekea huyu alishabakwa au amefanyiwa ukatili wa kijinsia hivyo ameathirika kisaikologia kinachotakiwa hapa ni kumuona mshauri ili atibiwe tatizo lake, wengi walikuwa km yeye ila sasa hivi wamepona na wanaishi vizuri tu na jamii yao
 
Sure mkuu, inaelekea huyu alishabakwa au amefanyiwa ukatili wa kijinsia hivyo ameathirika kisaikologia kinachotakiwa hapa ni kumuona mshauri ili atibiwe tatizo lake, wengi walikuwa km yeye ila sasa hivi wamepona na wanaishi vizuri tu na jamii yao
Hilo ndo tatizo la wabongo kujifanya mnamjua kila mtu kupitia anayoyaandika nyuma ya keyboard mkuu hii ni jamii forums siyo maisha halisi halafu ningekuwa nimepitia hayo unayosema na ningekuwa kweli nawachukia wanaume basi nisingekuwa na mpenzi kabisa ila ninaye labda kama hauzijui vizuri sifa za mwanamke aliyekuwa sexually harrassed utotoni
 
Mkuu,mbona na wao hufanya mapenzi bila kua na lengo la kuolewa? hujawahi kusikia kuna mwanaume kakataliwa ndoa na mpenzi wake?
Lakini hapo anakuwa hajamchezea mwanaume tofauti na wanaume mnapotembea na wanawake halafu hamuwaoi mnakuwa mmewachezea kwani huo si ndo mtazamo wa jamii au? Mimi nilijua utanielewa kwa sababu huo ndo mtazamo wa jamii yenu hiyo

Ambayo ndo mnafanya mambo ili kuifurahisha jamii ambayo inaamini mwanaume ndo anatumia na mwanamke ndo anatumiwa sasa hapo mkiachana nani atakuwa kamchezea mwenzie? Obviously aliyemtumia mwenzie ndo kamchezea mwenzie na aliyetumiwa ndo kachezewa no matter the reasons zilizosababisha muachane
 
Lakini hapo anakuwa hajamchezea mwanaume tofauti na wanaume mnapotembea na wanawake halafu hamuwaoi mnakuwa mmewachezea kwani huo si ndo mtazamo wa jamii au? Mimi nilijua utanielewa kwa sababu huo ndo mtazamo wa jamii yenu hiyo

Ambayo ndo mnafanya mambo ili kuifurahisha jamii ambayo inaamini mwanaume ndo anatumia na mwanamke ndo anatumiwa sasa hapo mkiachana nani atakuwa kamchezea mwenzie? Obviously aliyemtumia mwenzie ndo kamchezea mwenzie na aliyetumiwa ndo kachezewa no matter the reasons zilizosababisha muachane
Unachanganya sana mambo,tulia kwanza,
Kwani mwanamke hawezi kumchezea mwanaume? hawezi kumpotezea muda wake kisha akamdump? Hapo kwenye red unakusudia "jamii yetu" kwa maana ya jamii ipi? gender?
 
Yaani wanaume wangekuwa wanatambua thamani ya miili ya wanawake basi wasingekuwa wanawachezea
Yaani wewe bwana, wanaume watambue thamani ya miili ya wanawake wakati hao wanawake hawatambui thamani ya miili yao? Does it make sense to you? Nadhani ukiitambua thamani yako, hata jirani yako tu atakuheshimu.
 
Unachanganya sana mambo,tulia kwanza,
Kwani mwanamke hawezi kumchezea mwanaume? hawezi kumpotezea muda wake kisha akamdump? Hapo kwenye red unakusudia "jamii yetu" kwa maana ya jamii ipi? gender?
Mkuu hebu tuelewane kitu kimoja kwanza kutokana na mtazamo wa jamii yetu hii inayotuzunguka ambayo inaamini kwamba mwanaume hata afikishe miaka 60 hajaoa bado atapata mwanamke wa kuoa tu ila mwanamke akifikisha miaka 40 tu kupata mwanaume wa kuolewa naye inakuwa ni ishu naomba nikuulize hili swali hivi mwanaume na mwanamke wanapoachana nani kati yao anakuwa anapoteza muda wa kufikia ndoa? Kwani na wanaume kwenye mahusiano huwa mna cha kupoteza ukilinganisha na wanawake?
 
Yaani wewe bwana, wanaume watambue thamani ya miili ya wanawake wakati hao wanawake hawatambui thamani ya miili yao? Does it make sense to you? Nadhani ukiitambua thamani yako, hata jirani yako tu atakuheshimu.
Kuna wanawake wanajiheshimu lakini bado wanatongozwa na wanaume wakware haya hapo bado unaona tatizo ni mwanamke? Wanaume ambao wanatongozatongoza hovyo hata kama hawana nia ya dhati siyo tatizo?
 
Kuna wanawake wanajiheshimu lakini bado wanatongozwa na wanaume wakware haya hapo bado unaona tatizo ni mwanamke? Wanaume ambao wanatongozatongoza hovyo hata kama hawana nia ya dhati siyo tatizo?
Unatoaje tunda ovyo? Kwa nini usisubiri ndoa?
 
Unatoaje tunda ovyo? Kwa nini usisubiri ndoa?
Kwanini na wanaume nao watongoze hovyo? Mimi nakwambia hata wanawake wote duniani tukisema tujiheshimu bado kuna wanaume wataendelea kututongoza tu na kutaka mchezo kabla ya ndoa kama mnaona ninyi kutongoza hamuwezi kuacha basi fikirieni na sisi mnaotutongoza kwamba ndo tunawezaje kushindwa kukubali ukizingatia vishawishi ni vingi?
 
Mkuu hebu tuelewane kitu kimoja kwanza kutokana na mtazamo wa jamii yetu hii inayotuzunguka ambayo inaamini kwamba mwanaume hata afikishe miaka 60 hajaoa bado atapata mwanamke wa kuoa tu ila mwanamke akifikisha miaka 40 tu kupata mwanaume wa kuolewa naye inakuwa ni ishu naomba nikuulize hili swali hivi mwanaume na mwanamke wanapoachana nani kati yao anakuwa anapoteza muda wa kufikia ndoa? Kwani na wanaume kwenye mahusiano huwa mna cha kupoteza ukilinganisha na wanawake?
Ndio maana nikakwambia tulia ili uandike vitu vinavyoeleweka,umerukia sasa tuongelee watu walioachana!! bora nikuache tu.
 
Kwanini na wanaume nao watongoze hovyo? Mimi nakwambia hata wanawake wote duniani tukisema tujiheshimu bado kuna wanaume wataendelea kututongoza tu na kutaka mchezo kabla ya ndoa kama mnaona ninyi kutongoza hamuwezi kuacha basi fikirieni na sisi mnaotutongoza kwamba ndo tunawezaje kushindwa kukubali ukizingatia vishawishi ni vingi?
Sasa hapo tatizo ni la wanawake. Ukitongozwa usikubali ..
 
Back
Top Bottom