Myfancyface
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 948
- 900
Sometimes natumia hadi mia tatu kuingia nmb mobile..y...yaani kwenye kukata miamia hawana ajizi.. but kukupa huduma uitakayo ni mtiti...inashangaa ngoma unazunguka tu hupati jibu
Download NMB App.
Sometimes natumia hadi mia tatu kuingia nmb mobile..y...yaani kwenye kukata miamia hawana ajizi.. but kukupa huduma uitakayo ni mtiti...inashangaa ngoma unazunguka tu hupati jibu
Simbanking App ya CRDB usipokuwa na Salio la kawaida kwenye Simu hupati huduma, hii serikali sijui inataka kutupeleka wapi