Huku nikiwa naendelea kufurahia vitu vya asili tulivyobarikiwa na Mungu pamoja na chakula kizuri, maisha ya watu wangu kiujumla ni magumu sana. Hakuna jitihada za makusudi za kuhakikisha watu wanaishi maisha yenye furaha.
Unajenga nyumba nzuri, unaweka mifumo ya maji, vyoo vya ku flash, AC unalipa bills na kujinunulia umeme halafu mwisho wa siku huduma hizo hakuna. Hii maana yake nini?
Unanunua kifurushi cha bima ya Afya ila siku unaumwa malaria tu daktari anakuambia dawa nzuri zipo ila bima ya Taifa imetuandikie tutoe aina fulani ya dawa ambazo ni cheap. Hii maana yake nini.
Unajipanga ununue gari halafu unakuta barabara hazitamaniki. Hii nayo imekaaje?
Nadhani wananchi tulipwe hardship allowance.
Unajenga nyumba nzuri, unaweka mifumo ya maji, vyoo vya ku flash, AC unalipa bills na kujinunulia umeme halafu mwisho wa siku huduma hizo hakuna. Hii maana yake nini?
Unanunua kifurushi cha bima ya Afya ila siku unaumwa malaria tu daktari anakuambia dawa nzuri zipo ila bima ya Taifa imetuandikie tutoe aina fulani ya dawa ambazo ni cheap. Hii maana yake nini.
Unajipanga ununue gari halafu unakuta barabara hazitamaniki. Hii nayo imekaaje?
Nadhani wananchi tulipwe hardship allowance.