Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,296
- 51,930
Sijui nimekuita tu utoe maoni yako 🙄Am I a feminist?
Sijui nimekuita tu utoe maoni yako 🙄Am I a feminist?
OkSijui nimekuita tu utoe maoni yako 🙄
Iman nikiwango kidgo sna cha kujua , huwez kusema kitu hiki nihakika kwa iman tuKama ni imani basi uwanja mpana sana wa uhuru kuchagua kuamini au kutoamini kilichoandikwa hapa.
Je, kenge au swala akifa yeye anakuwa nani?ukifa unazaliwa tena kwingine lakini unakuwa kiumbe kingine mfano unaweza kenge au swala..
Sasa nakujaje wakati sina mwenyeji
Kuna dada mmoja alikiw mwenyeji wangu sehemu panaitwa Mwidu mbele kidogo ya Ubena Zomozi Chalinze, hapo cha ajabu ana chumba kimoja na bwana ake. Sikulala nilikesha mlangoni mpaka asubuhi.
Yule jamaa anasema shemeji njoo ndani ulale utaumwa na mbu hapo nje nikawa nazuga napata upepo ndani ni joto. Asubuhi nilipanda bus kutoka moro bila hata kuaga. Yule jamaa alivyofika ndani tu alibali na boxer huu so ufala huu nani aende akalale![]()



kwahiyo ulikosa hela ya gesti mseleleko mbaya sanaUko vzr mwaka huu
Alikuw na chumba na sebule. Ile K ukipewa wewe ndug zako watakusahauYaani ulikuwa unabakwakwawaaa kilahisi sanamtu ana kaa chumba kimoja then unaenda unasema ndio mwenyeji wako
Alikuw na chumba na sebule. Ile K ukipewa wewe ndug zako watakusahau
Nafsi inaondolewa na nani? Inapelekwa wapi?UONGO
Mtu anapokufa, maana yake nafsi / roho imeondolewa na mwili unaozea chini na kuwa udongo
duh omba ukifa tena uzaliwe kongo
🤔🤔🤔🤔🤔 Tena uwe goma au member wa m23 hapo NI kuwa Chaka mda woteduh omba ukifa tena uzaliwe kongo