Ukifa unazaliwa tena

Ukifa unazaliwa tena

M

h ya kweli haya?
Kama ni uwongo mbona hawapendi kufa ili wazaliwe tena?

Afu inakuwaje kiumbe kilishapoteza kumbukumbu na kuzaliwa upya kikakumbuka ya nyuma tena?

Je inshu ya genetic hormones inayoambatana na kizazi hadi kizazi imepotelea wapi hadi huyo kiumbe azaliwe kwa wazazi wengine upya?

Kwanini azaliwe akiwa Binadamu lakini asiwe mende, nyangumi n.k?
 
Mimi nipo njia panda
Inafikirisha sana mpaka unashindwa kuelewa hii Dunia
Kuna mambo mengi yamejificha, yaani mradi tupo tu

Kuna wahindi wanaamini kabisa wakifa wanarudi na kuwa viumbe wengine kabisa ila inategemea eti na dhambi zako

Mmoja nilimwambia ukifa unataka uwe nani akasema Mbwa sababu anazijua yeye maana nilicheka mpaka nikakaa chini
 
Inaaminika kua km ukiish kwa kutenda mema ukifa utazaliwa tena kweny familia yenye uwezo na furaha ila km ukiish kw uovu ukifa utazaliwa kwenye shida au kuzaliwa mnyama km mbwa,swala au panya kbs. Nandomana unaambiwa paradiso na kuzimu ni hapahap dunian
 
Inafikirisha sana mpaka unashindwa kuelewa hii Dunia
Kuna mambo mengi yamejificha, yaani mradi tupo tu

Kuna wahindi wanaamini kabisa wakifa wanarudi na kuwa viumbe wengine kabisa ila inategemea eti na dhambi zako

Mmoja nilimwambia ukifa unataka uwe nani akasema Mbwa sababu anazijua yeye maana nilicheka mpaka nikakaa chini
Bora ingekuwa wazi
 
Kama ni uwongo mbona hawapendi kufa ili wazaliwe tena?

Afu inakuwaje kiumbe kilishapoteza kumbukumbu na kuzaliwa upya kikakumbuka ya nyuma tena?

Je inshu ya genetic hormones inayoambatana na kizazi hadi kizazi imepotelea wapi hadi huyo kiumbe azaliwe kwa wazazi wengine upya?

Kwanini azaliwe akiwa Binadamu lakini asiwe mende, nyangumi n.k?
Mkuu tofauti na mwili wako kuna wewe ,ukifa wewe unaweza chukua mwili mwingne kwenye tumbo la mama mjamzito baada ya miezi mi tatu kutimia , jambo hili sio tu huko mwenyewe nina mengi ya kushangza ila kutokana na iman za watu inabidi ninyamaze tu yaishie tu moyoni.
 
Roho inaachana na mwili na kwenda kuanzisha maisha mengine kwa umbo jingine.
Ni lazima urudi nyumbani kwanza huko 5th Dimension, hapa tupo 3rd Dimension na hapo 4th Dimension ndio kwenye Astral plane ambako wajuzi wanaacha miili yao wanakwenda tembea na kurudia miili yao.

Sasa ukifa ukaridhia kurudi nyumbani (maana kuna wengine wanakua hawapo tayari bado kurudi, ndio wanaranda randa kama mizimu/Ghosts). Ukisharudi nyumbani kwanza kuna malipizi ya kufanya kutokana na uliyotenda hapa Duniani na pia kama utapenda rudi utapewa mikataba kadhaa ambapo utachagua unaotaka kuja tumikia, na ndio maana tuanaambiwa kila kikutokeacho kimeandikwa kable (life is prescripted na ina episodes kabisa kama muvi vile). Na kama unapitia episode fulani basi itapita kama itakiwavyo (hakuna muujiza wala sala za y kukukwamua hapo).

Hivyo basi unayopitia yaweza kuwa ni malipizi ya maisha yaliyopita, maana utalipa kwa kila ufanyacho, iwe wema kwa wema au ubaya kwa ubaya na hajalishi kama ulisamehewa ama ala. (Kipimo kilekile muwapiamiacho wengine, nanyi pia mtapimiwa, ndio ukweli).
 
Mkuu tofauti na mwili wako kuna wewe ,ukifa wewe unaweza chukua mwili mwingne kwenye tumbo la mama mjamzito baada ya miezi mi tatu kutimia , jambo hili sio tu huko mwenyewe nina mengi ya kushangza ila kutokana na iman za watu inabidi ninyamaze tu yaishie tu moyoni.

Embu tupe kidogo
 
Kuhusu mtu anaenda wapi baada ya kifo imebaki kuwa fumbo kwa sababu sayansi inasema mengine na dini mbalimbali zinasema mengine.

Kwa msichana Shanti Devi ilikua tofauti kidogo, baada ya kifo chake alizaliwa sehemu nyingine akiwa na kumbukumbu za zamani

Tushuke nayo


Shanti Devi alikuwa msichana mdogo aliyezaliwa Delhi, India mwaka wa 1926. Akiwa na umri wa miaka minne, alianza kudai kwamba alikuwa na kumbukumbu za maisha ya zamani kama mwanamke aitwaye Lugdi Devi, ambaye aliishi katika mji uitwao Muttra (kama maili 90 kutoka Delhi).

Shanti angezungumza na wazazi wake kuhusu maisha yake ya zamani, akieleza mji alioishi, watu aliowajua, na matukio yaliyotokea. Alidai kwamba alikufa wakati wa kujifungua na kwamba jina la mumewe lilikuwa Kedar Nath

Wazazi wa Shanti hapo awali walitupilia mbali madai yake, lakini kadiri alivyokuwa mkubwa, alisisitiza zaidi, na kumbukumbu zake zikawa nyingi zaidi. Mara nyingi alikuwa akichora picha za mji aliokua akiishi zamani na alama zak

ambazo wazazi wake walifanya uchunguzi na kuthibitisha baadaye kuwa sahihi.

Mnamo 1935, Shanti alipokuwa na umri wa miaka tisa, hadithi yake ilivutia fikira za mwalimu wake, ambaye alimwandikia barua profesa wa falsafa katika Chuo Kikuu cha Delhi. Profesa, aitwaye Dk

Ian Stevenson, alikuwa na nia ya kuchunguza madai ya kuzaliwa upya na aliamua kukutana na Shanti.

Walivyokutana, Stevenson alimwomba Shanti kutoa maelezo zaidi kuhusu maisha yake ya zamani. Aliweza kueleza mpangilio wa mji, majina ya mitaa, na maeneo ya majengo mbalimbali.

Pia alimtambua mwanamume anayeitwa Pandit Kanjimal, ambaye alidai kuwa alikuwa mshirika wa biashara wa mumewe.

Stevenson aliamua kuchunguza madai ya Shanti zaidi na akasafiri hadi Muttra ili kuona kama angeweza kuthibitisha kumbukumbu zake.

Aliweza kuipata nyumba aliyokuwa akiishi Lugdi Devi na kugundua kwamba maelezo mengi ambayo Shanti alikuwa ameeleza yalilingana na nyumba hiyo na mazingira yake.



Pia alimpata mwanamume anayeitwa Pandit Kanjimal, ambaye alithibitisha kuwa Lugdi Devi alikuwa mke wa mshirika wake wa kibiashara na alikufa wakati wa kujifungua.

Uchunguzi wa Stevenson ulienea kwenye vichwa vya habari duniani kote, na Shanti akawa maarufu katika jambo kuzaliwa upya. Hadithi yake baadaye iliandikwa katika kitabu kinachoitwa "Kesi Ishirini Zinazopendekeza Kuzaliwa Upya," ambacho Stevenson alichapisha mnamo 1966.

Mbali na Shanti Devi, watu wengine ambao wamewahi kuzaliwa na kuwa na kumbukumbu za kuishi zamani sawa na Shanti Devi ni kama James Leininger, Ryan Hammons pamoja Bridey Murphy
Reincarnation
c18a9cfd505d0c0d42c6598a88dde91c.jpg
 
Kuhusu mtu anaenda wapi baada ya kifo imebaki kuwa fumbo kwa sababu sayansi inasema mengine na dini mbalimbali zinasema mengine.

Kwa msichana Shanti Devi ilikua tofauti kidogo, baada ya kifo chake alizaliwa sehemu nyingine akiwa na kumbukumbu za zamani

Tushuke nayo


Shanti Devi alikuwa msichana mdogo aliyezaliwa Delhi, India mwaka wa 1926. Akiwa na umri wa miaka minne, alianza kudai kwamba alikuwa na kumbukumbu za maisha ya zamani kama mwanamke aitwaye Lugdi Devi, ambaye aliishi katika mji uitwao Muttra (kama maili 90 kutoka Delhi).

Shanti angezungumza na wazazi wake kuhusu maisha yake ya zamani, akieleza mji alioishi, watu aliowajua, na matukio yaliyotokea. Alidai kwamba alikufa wakati wa kujifungua na kwamba jina la mumewe lilikuwa Kedar Nath

Wazazi wa Shanti hapo awali walitupilia mbali madai yake, lakini kadiri alivyokuwa mkubwa, alisisitiza zaidi, na kumbukumbu zake zikawa nyingi zaidi. Mara nyingi alikuwa akichora picha za mji aliokua akiishi zamani na alama zak

ambazo wazazi wake walifanya uchunguzi na kuthibitisha baadaye kuwa sahihi.

Mnamo 1935, Shanti alipokuwa na umri wa miaka tisa, hadithi yake ilivutia fikira za mwalimu wake, ambaye alimwandikia barua profesa wa falsafa katika Chuo Kikuu cha Delhi. Profesa, aitwaye Dk

Ian Stevenson, alikuwa na nia ya kuchunguza madai ya kuzaliwa upya na aliamua kukutana na Shanti.

Walivyokutana, Stevenson alimwomba Shanti kutoa maelezo zaidi kuhusu maisha yake ya zamani. Aliweza kueleza mpangilio wa mji, majina ya mitaa, na maeneo ya majengo mbalimbali.

Pia alimtambua mwanamume anayeitwa Pandit Kanjimal, ambaye alidai kuwa alikuwa mshirika wa biashara wa mumewe.

Stevenson aliamua kuchunguza madai ya Shanti zaidi na akasafiri hadi Muttra ili kuona kama angeweza kuthibitisha kumbukumbu zake.

Aliweza kuipata nyumba aliyokuwa akiishi Lugdi Devi na kugundua kwamba maelezo mengi ambayo Shanti alikuwa ameeleza yalilingana na nyumba hiyo na mazingira yake.



Pia alimpata mwanamume anayeitwa Pandit Kanjimal, ambaye alithibitisha kuwa Lugdi Devi alikuwa mke wa mshirika wake wa kibiashara na alikufa wakati wa kujifungua.

Uchunguzi wa Stevenson ulienea kwenye vichwa vya habari duniani kote, na Shanti akawa maarufu katika jambo kuzaliwa upya. Hadithi yake baadaye iliandikwa katika kitabu kinachoitwa "Kesi Ishirini Zinazopendekeza Kuzaliwa Upya," ambacho Stevenson alichapisha mnamo 1966.

Mbali na Shanti Devi, watu wengine ambao wamewahi kuzaliwa na kuwa na kumbukumbu za kuishi zamani sawa na Shanti Devi ni kama James Leininger, Ryan Hammons pamoja Bridey Murphy
Jina la muvi linaitwaje?
 
Back
Top Bottom