M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 2,866
- 4,766
mkuu kumbe unakijua?Mimi nilichukua mafao yangu enzi za mwendazake. Aisee Bora hata Sasa. Kipindi Cha mwendazake ndio ilikua balaa.
Hapo ubungo kile kidada Malaya kinachotembea na wakubwa, kile kinacho kaanga sumu chenye damu chafu bado kipo?
Hatari sana .
tatizo zaidi pale ni ukanda watu wameajiliwa kutoka ukanda mmoja.