Ukienda NSSF kupata huduma lazima umkumbuke Hayati Magufuli

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
368
2,511
Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.

Hakuna anaejali.

Unasikilizwa kwa mbinde.

Meneja hapatikani.

Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!

Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.

Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.

Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.

Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
 
Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.

Hakuna anaejali.

Unasikilizwa kwa mbinde.

Meneja hapatikani.

Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!

Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.

Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.

Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.

Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Umeshawahi kwenda hapo NSSF wakati huyo Magu akiwepo ?
 
Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.

Hakuna anaejali.

Unasikilizwa kwa mbinde.

Meneja hapatikani.

Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!

Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.

Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.

Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.

Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Team Jiwe kazini , aliyehamisha ofisi kwenda Dodoma ni nani ? na hapo kinondoni unamlaumu nani ?
 
Na mm nilitaka ni comment icho kitu ...
Binafsi nimekuwa naenda nssf ubungo plaza ...since 2020 kiukweli wana usumbufu wa kiwango cha daraja la kwanza ...hupewi majibu yanayo eleweka wana kwambia tu file lipo kwa boss
Sasa huyo boss anakaa na file la mteja mwezi mzima ?
Wangekuwa wanajua huyo Magu ndio kaimaliza kabisa hiyo mifuko wasingelete huu utaahira huu himu.
 
Ujinga ni kipaji.

Ulitakiwa upate pesa yako yote ila leo utapokea only 33.3% ya pesa zako zote na bado unamkumbuka kwa mazuri aliyekusababishia hali hio.
Mimi nilichukua mafao yangu enzi za mwendazake. Aisee Bora hata Sasa. Kipindi Cha mwendazake ndio ilikua balaa.
Hapo ubungo kile kidada Malaya kinachotembea na wakubwa, kile kinacho kaanga sumu chenye damu chafu bado kipo?
 
Wafuasi wa Jiwe watakuwa wagonjwa, sio bure!!

Hapa JF kuna nyuzi lukuki za kuilalamikia NSSF over the past 5 years, bado mtu anakuja na kusema angekuwepo Jiwe!!

Yaani hata sakata la Yanga na Simba la majuzi bado utawasikia "...angekuwepo Magufuli hapo hapo angewapigia simu TFF"

Ndugai kanajisi katiba, sheria na kanuni za bunge wakati JPM yupo hai halafu leo anatokea Mwendawazimu mmoja anasema "...angekuwepo Magufuli angepiga simu kuwakaripia TFF"

Jiwe mwenyewe kavunja sheria kibao tu na kuinajisi katiba mara kadhaa, halafu anatokea mwehu mmoja anasema "...angekuwepo Magufuli angewakaripia TFF!"

Yaani wanaona kanuni za TFF ni bora kuliko kanuni kanuni na sheria za bunge pamoja na katiba!

Are you STUPID?!

Mkuu Erythrocyte, nakubaliana na wewe ni kwanini zamani Watumwa walikuwa wanazikwa hai na mfalme wao!!

I hate to say this lakini ukweli mchungu ni kwamba, kupoteza mbuzi mmoja pale Vingunguti au hata kuku mmoja pale Kisutu, ni hasara kubwa kwa taifa na ustawi wa dunia kwa ujumla kuliko kupoteza Misukule 100 ya JPM!
 
Na mm nilitaka ni comment icho kitu ...
Binafsi nimekuwa naenda nssf ubungo plaza ...since 2020 kiukweli wana usumbufu wa kiwango cha daraja la kwanza ...hupewi majibu yanayo eleweka wana kwambia tu file lipo kwa boss
Sasa huyo boss anakaa na file la mteja mwezi mzima ?
Nssf wapumbavu sana. Wamesababisha hasara maishani mwangu. Sitasahau nilivyoshindwa kumudu gharama za matibabu wakati wamekalia stahiki zangu. Mungu awalani kuanzia Bodi yao, Hadi karani wao ofisi za Nssf Kigoma-Ujiji.
 
Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.

Hakuna anaejali.

Unasikilizwa kwa mbinde.

Meneja hapatikani.

Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!

Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.

Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.

Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.

Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Ntovye,
Ni kweli usemavyo lakini kwa kuwa mama anahidi kufuata nyayo hebu tisubiri tuone wanaojisahau na kuleta ukiritimba wao watanyooka tu.
Time is the best judge.
 
Mimi nilichukua mafao yangu enzi za mwendazake. Aisee Bora hata Sasa. Kipindi Cha mwendazake ndio ilikua balaa.
Hapo ubungo kile kidada Malaya kinachotembea na wakubwa, kile kinacho kaanga sumu chenye damu chafu bado kipo?
Mkuu umejuaje ni dada malaya anatembea n wakubwa zake?
 
Nssf wapumbavu sana. Wamesababisha hasara maishani mwangu. Sitasahau nilivyoshindwa kumudu gharama za matibabu wakati wamekalia stahiki zangu. Mungu awalani kuanzia Bodi yao, Hadi karani wao ofisi za Nssf Kigoma-Ujiji.
Duh ..inaumiza sana
 
Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.

Hakuna anaejali.

Unasikilizwa kwa mbinde.

Meneja hapatikani.

Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!

Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.

Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.

Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.

Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Kabla ya kutawala huyo unayemkumbuka,Leo ungekuwa unatuatilia kupewa % ya kile ulichokichangia hapo NSSF.

Lakini leo unafuatilia ulipwe 33% ya mshahara wako wa mwisho kila mwezi zoezi litakalo dumu kwa miezi 6 tu.Lakini aliyekusababishia hali hiyo ndo unamkumbuka kwa hayo mazuri.Kweli uchawi upo.
 
Back
Top Bottom