sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 368
- 2,511
Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.