fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
- Thread starter
- #21
Hapana ile ni hospital pharmacy, is apharmacy that operatesinsidea hospital, yani dawa ni za bure kabisa sitoi hata pesa moja :cool2:Songíto;3576368 said:mkuu hilo duka la dawa uliloenda kununua dawa ambapo na yeye alikusindikiza halikuwa lake kweli? isije bashasha zake ilikuwa ni katika mipango ya kukuvuta ukanunue dawa kwenye duka lake tu.... si unajua tena biashara??? lazima uwe mchangamfu... maana mteja ni mfalme