Unasubir kupaishwa?
Watu wengine kwa kujipaisha bwana hawajambo...!
Watu wengine kwa kujipaisha bwana hawajambo...!
hasa wateja kama sisi WENYE ITIKAD ZETU ZA KIJAHIDINA
hahahaha! Mi nahisi kaongeza na chumvi kwenye habari. Heee, na wewe mtu akikutabasamia hauwi kama fazaa? Kama unakuwa kama fazaa nipunguze kukuchekea. Lol.
kwangu wewe cheka tu tena jiachie kabisa...maana we ukicheka na mimi huwa nacheka tena sana..huyu fazaa yeye alikuwa mawazo keshayapeleka mbali kweli na ninadhani alikuwa na majibu mafupi mafupi....fazaa bana...we kwani umeona mahali amezungumzia kuombwa namba?..
we mjahidina toka lini?
Hahahahah,tangu nianze kuitwa Bajabiri
bora umenitoa hofu. Watu kama fazaa ni wa kukimbiwa. Lol.
Ngoja arudi alete ufafanuzi. Angeombwa namba ndio ingekuwa balaa.
Mwanangu niliwahi kuwazungumzia watu hao hapa:
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ili-hizi-za-wanawake-sio-za-kweli-kabisa.html
Kama ulikuwepo Edson, mimi huwa sipatikani kiujinga vile, nilikuwa na mpa majibu ya kifupi fupi tu...mwanamke anichekee basi kisha nipenda!!!kwangu wewe cheka tu tena jiachie kabisa...maana we ukicheka na mimi huwa nacheka tena sana..huyu fazaa yeye alikuwa mawazo keshayapeleka mbali kweli na ninadhani alikuwa na majibu mafupi mafupi....fazaa bana...we kwani umeona mahali amezungumzia kuombwa namba?..
wanawake hupenda kuwatumia watu
labda alikuwa anakutumia kumrusha roho mtu
au alikuwa in a good mood na wewe ukatumika kum cheer up
, je nyie wanawake ndo zenu hizo mnapenda kwa kasi
Hebu nipeni point wapi nimesema huyo mwanamke kanipenda?
Hapana nilikuwa na uliza swali hapa tazama (Je)...ukisoma kichwa cha thread, nilisha jitoa mbali sana...Ku uliza swali na kusema ni tofouti kabisa.
Umeona kama umekosea step :cool2:
Mbona wewe huwa mkaidi hutaki kufahamu, wewe unataka mpaa uwekewe ? ndo unajuwa swali.swali huwa na alama ya kuuliza (?). Wapi alama ya kuuliza hapo nilipokuquote?
Mbona wewe huwa mkaidi hutaki kufahamu, wewe unataka mpaa uwekewe ? ndo unajuwa swali.
sa mimi nakuliza swali bila ya hio ?
Ok here we go....
Je wewe unapenda
Wewe vigumu kuona mpaa uone ? Lingine hilooo.....Je kuna mvua hapo ulipo, au hakuna.