hahaha ni actress huyo wewe,usitudanganye,.....:rolleyez:
.......kwa mfano huyu ni miongoni mwa Jf member unaweza kuamini hilo ?.......
huyu ni Jestina mtunisha kifuu mzuri kiasi chake bibie huyu......
Hey man forgetting Obama the man from Kogelo Kisumu Nyanza President of the USA!!!!! Upo!!!Waafrika bana wazuri sana Mungu alitubariki sana tatizo letu akili za kijinga tuna kila kitu, we are truly blessed but we have turned everything against us....wanawake wazuri wako Afrika,wanamichezo wote hodari ni watu kutoka Afrika,Madini,Maji,Wanyama viko hapa Mungu katunyima Viongozi tu tungeitawala Dunia...
jamani eeeh huyo sio mie,ni gabrielle,nilichukua picha yake msije mkanipaisha nikaanza kupata PM za kumwaga wakati kiuhalisia mie ni kibibi chenye magego...lol:spy:
Jestina, km una magego, basi sio kibibi; labda ungesema una mapengo.jamani eeeh huyo sio mie,ni gabrielle,nilichukua picha yake msije mkanipaisha nikaanza kupata PM za kumwaga wakati kiuhalisia mie ni kibibi chenye magego...lol:spy:
View attachment 52351Kuna sehemu ukipita unakutana na kila aina ya warembo kwa mfano huyu ni miongoni mwa Jf member unaweza kuamini hilo ?