Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,210
- 42,072
bunge limepamba moto, watu wanaongea kwa uchungu na uzalendo mkubwa.
øwatu wamechoka kudanganywa kwa sababu unaweza kuwadanganya watu mahali popote lakini huwezi kuwadanganya watu muda wote.
øwatu wanafiri serikali ni ya ccm
ikumbukwe kwamba serikali hii ni yetu sote si ccm wala cdm
ø Ukipiga sarakasi na taulo utabaki uchi.
HAYO NI BAADHI YA MANENO YALIYOJILI BUNGENI KUTOKANA NA UCHUNGU WA KUTAFUNWA KWA PESA ZA UMA
BUNGE LINAVUTIA, UZALENDO UMEANZA KUONEKANA.
USIKOSE KUANGALIA BUNGE
øwatu wamechoka kudanganywa kwa sababu unaweza kuwadanganya watu mahali popote lakini huwezi kuwadanganya watu muda wote.
øwatu wanafiri serikali ni ya ccm
ikumbukwe kwamba serikali hii ni yetu sote si ccm wala cdm
ø Ukipiga sarakasi na taulo utabaki uchi.
HAYO NI BAADHI YA MANENO YALIYOJILI BUNGENI KUTOKANA NA UCHUNGU WA KUTAFUNWA KWA PESA ZA UMA
BUNGE LINAVUTIA, UZALENDO UMEANZA KUONEKANA.
USIKOSE KUANGALIA BUNGE