Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
 
Mnaanza tena kutusingizia kuwa sie tumesema ili mjipendekeze, yeye amekiri kuwa yeye ni kichaa mkamwambie aache ukichaa wake nchi ni ya kwetu sote. Kichaa mpina alisimama na kufurahi kuitwa kichaa na kichaa mwenzake. mbele ya vichaa kibao.
 
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
 
Travic,

..wengi wamekuwa wakionya kuhusu kauli tata za Raisi Magufuli.

..wengi wameshauri awe makini zaidi na matamshi yake.

..lakini inavyoelekea ushauri huo hauzingatiwi, na mambo yanazidi kuharibika.

..Raisi siyo mgeni ktk siasa, ana uzoefu wa miongo kadhaa ktk kuzungumza na wananchi.

..Pia ana wasaidizi chungu mzima wenye weledi wa kumuandalia hotuba.

..Kwa hiyo Raisi anapotoka hadharani na kutoa kauli zisizopendeza na zenye ukakasi basi anayepaswa kubeba lawama ni yeye mwenyewe.
 
ha ha propaganda za kijinga yaani mtu kichaa anakiri mimi ni kichaa anajifananisha na kichaa mwenziwe ambao kwa vitendo vyao vua kkipuuzi wanajulikana ni vichaa hakuna mtu ambaye hajaona jinsi kichaa wa ikulu alivyoharibu hii nchi apelekwe lutindi akapewa huduma ya akili ya kichwa kichaa wetu kuna siku atayafanya ambayo hutakuja hapa JF kupiga propaganda bali utachimba shimo ujifiche acha kutetea kichaa wewe
 
We leo utamtetea kwa hili,kesho mwenzako anakwenda kuibua lingine tena zito zaidi ya hili.

Ni bora kazi ya kukoroga zege kuliko kazi ya kumtetea Magu kwa kauli na matendo yake.

Atawatesa sana na kwa hakika mtateseka.
 
Kw
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA
Kwani kuna aliepinga kuwa wameelewa kuwa raisi kujiita kichaa nini anamaanisha??maana sio leo mara yakwanza kusema yeyey nikichaa hata alipokuwa bandari alisema yeye kunawakati ana frustrations
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Jiwe hasafishiki.
 
Hawa vijana wa UFIPA hili suala la MAGUFULI kusema yeye ni kichaa WANATAMBUA kabsa alikuwa anamaana gani ila kwa sababu ya UPUUZI wao na kukataa tamaa juu ya CHAMA CHAO kwenye hili la UKICHAA ndio wanapoona sehemu ya wao kujifariji...ILA UKWELI JUU YA KAULI HII WANAIELEWA

Sasa hao vijana wa ufipa unawaonea bure, hata washamba wenzio walikuwa wanajiita vishtobe walipokuwa wanafika town kwa mara ya kwanza wakifikiri ukiwa kishtobe ndio bonge la mjanja Enzi hizo, Kumbe kishtobe ndio nyie siku hizi mnawaita masita duu.

Hapa kichaa amejitambua na kuanza kutaja wenzake sie tunasubira kwanza labda kuna ambao wamechaguliwa kibaguzi kama mpina au wengine hawajatajwa. tulisema mara nyingi humu jinsi gari linavyokwenda kama sio gari basi dere dishi litakuwa haliko sawa sasa tumekubari tulivyokuwa tunadhani ni sawa. Angemtaja Mama Samia kamchagua sababu ni kichaa watu wasingekubali lakini huyu wa uvuvi mie nakubaliana nae 100% dish limeyumba angekuwa sio kichaa asingefanya anayoyafanya.
 
Nilisikiliza neno kwa neno hotuba ya Rais JPM huko Ukerewe.

Pamoja na mambo mengi aliyoyahutubia, naona habari ya mjini ni ishu ya kusema alimchagua Waziri Mpina kwa sababu naye ni kichaa kichaa kama yeye.

Kwanza, kiu ya siasa nchini ni dhahiri ipo juu sana. Watu wanatamani kufanya siasa za kejeli na propaganda kwa namna ile ile iliyozoeleka miaka ya nyuma. Hii kiu haitaisha, mpaka pale Rais atakapoamua kuruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwa mtindo uliozoeleka.

Pili, kauli ya ukichaa imechukuliwa out of context. Na ndivyo propaganda zilivyo. Kwa ambaye hakutazama hotuba nzima, ni rahisi kuchotwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kwamba Rais 'amekiri' kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa.

Hata hivyo, Usahihi upo kwenye context, kwamba Rais alizungumzia ukichaa kumaanisha kiongozi mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya taifa, akirejea uamuzi wake wa kukamata meli yenye samaki waliovuliwa kiharamu kipindi akiwa waziri wa Uvuvi.

Kama watu wanafanya utani, sawa. Lakini kama kuna wanaoipa uzito hiyo propaganda kwa kuiamini, nayo ni sawa tu. La muhimu, ieleweke kuwa ni propaganda.

Naamini Rais hawezi kupaniki kwenye hilo!
Huu ukora peleka kwenu
 
Back
Top Bottom