Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
Huyo anakuwa na tamaa tu za kijinga,we mpaka uambiwe yote hayo unataka nawe akuoe au? Ukishajua ni mume wa MTU au mke wa MTU kubali kula tunda tu na si mahaba menginemengine na hilo tunda ni pale wakati unapopatikana tu.Ndoa ya MTU na ubebibebi ni vitu viwili tofauti