First Eleven
Member
- Apr 2, 2011
- 20
- 1
Ccm a & ccm b
chama cha demokaya na mabavu - a.k.a chadema
me cdm sina imani nao,chama cha wahun___.
Sina imani na CCM na mwenyekiti wake. Full stopWadau wote wa JF ukiambiwa upige kura ya kutokuwa na imani ungeweza kupigia kura chama gani??Na je Nanikiongozi gani huna imani naye kati ya hivyo vyama???
mkuu ni kweli nimeambiwa maana yake hapa hata mimi nimeshangaa yaani sisi sijui nini yetu piga bun huyu!
Nimeamini maneno ya biblia kuwa,"rushwa ikizidi huondoa maarifa." wewe inaonekana unanufaika na hali ya rushwa na uoza wa serikali, kwa hiyo umeishiwa maarifa.tunakuombea kwa mungu,chama cha wahuni, waiba wake za watu, chama cha kususa na kuandamana
Wadau wote wa JF ukiambiwa upige kura ya kutokuwa na imani ungeweza kupigia kura chama gani??Na je Nanikiongozi gani huna imani naye kati ya hivyo vyama???
Ndugu mwanaJF unaetumia jina hili nakusihi ulibadilishe. Kwa wale wasio fahamu jina alilotumia huyu mwenzetu ni matusi ya nguoni kwa kabila la wenzetu wachagga. I am very shocked kwa kweli!!!. Mods naomba umfute huyu arudi na ID nyingine maana huku ni kuivunjia heshma forum hii. Tafadhali sana Mods futeni hii ID.
me cdm sina imani nao,chama cha wahun___.
Chama cha mangu******
Bora anaeiba wake za watu ni wakomavu, kuliko anayetembea na wanafunzi sawa na watoto wake wa kuwazaa!