Ndugu mwanaJF unaetumia jina hili nakusihi ulibadilishe. Kwa wale wasio fahamu jina alilotumia huyu mwenzetu ni matusi ya nguoni kwa kabila la wenzetu wachagga. I am very shocked kwa kweli!!!. Mods naomba umfute huyu arudi na ID nyingine maana huku ni kuivunjia heshma forum hii. Tafadhali sana Mods futeni hii ID.
Au Chagua Chupi MtumbaniChama Cha Makamasi
Ha ha haaa. Kumbe huyu kibaraka alisema hivyo? Pamoja na kuwa simpendi huyu mtu lakini kwa hili namuunga mkono! Afadhali mwenye mawazo ya kutengeneza mwenyewe kuliko kununua na 10% juu! Hili wazo yafaa lifanyiwe kazi ili Tanganyika tuwe na mkwara kama North Korea.... Ha ha haaaa!Sina imani na CCM kwakua niwaongo na tena niwaizi wakuchakachua kura! Halafu chama kingine ni kile cha yule jamaa anayevaa kofia nyukundu (Baret) UPDP anaaitwa sijui Devota au Dovutwa wakati anaomba kura alisema akichaguliwa atafungua kiwanda cha silaha mtu hatari sana huyu ni wakuogopwa kuliko hata ukimwi au ukoma!
Mbali na CCM hivyo vingine ni subsidiaries za CCM. Ungetaja CCM ungeeleweka tu kuwa ni pamoja na hivyo vingineTanzania ina vyama kama 18,Cta tu sina imani navyo ni Ccm,Cuf,Nccr,Tlp,Udp,Updp,
Vyama vyote va siasa vilivyoko sasa nikikusudia CCM, CDM, CUF,NCCR, TLP, UDP, NGALAWA zote mbili na nyenginezo. Chama pekee ninacho imani nacho ni Afro Shirazi Party.Wadau wote wa JF ukiambiwa upige kura ya kutokuwa na imani ungeweza kupigia kura chama gani??
chama cha wahuni, waiba wake za watu, chama cha kususa na kuandamana
Ndugu mwanaJF unaetumia jina hili nakusihi ulibadilishe. Kwa wale wasio fahamu jina alilotumia huyu mwenzetu ni matusi ya nguoni kwa kabila la wenzetu wachagga. I am very shocked kwa kweli!!!. Mods naomba umfute huyu arudi na ID nyingine maana huku ni kuivunjia heshma forum hii. Tafadhali sana Mods futeni hii ID.
Wadau wote wa JF ukiambiwa upige kura ya kutokuwa na imani ungeweza kupigia kura chama gani??Na je Nanikiongozi gani huna imani naye kati ya hivyo vyama???