Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,708
- 1,733
Ndio, mie natumie sana TTCL ila nilikuwa na Airtel na Vodacom kwa miaka mingi tu. Leo naona hawa jamaa wamezigawa 'lines' zangu kwa watu wengine huku nilizisajiri kwa NIDA.
Ukweli nilikuwa sizitumii hii ni kwa sababu ya bughudha ya jumbe zao za mara kwa mara mpaka kupelekea simu kujaa, nikaona isiwe taabu hivo nitaziweka pembeni.
Jana nikaona nizifungue, duh, hazisomeki, hivyo mwenyeufahamu wa kampuni nyengine nzuri kwa huduma na unafuu anijuze.
Ukweli nilikuwa sizitumii hii ni kwa sababu ya bughudha ya jumbe zao za mara kwa mara mpaka kupelekea simu kujaa, nikaona isiwe taabu hivo nitaziweka pembeni.
Jana nikaona nizifungue, duh, hazisomeki, hivyo mwenyeufahamu wa kampuni nyengine nzuri kwa huduma na unafuu anijuze.