Good qns YoungBoy😊Kuna umuhimu gani kwenye hilo jina?
Wewe ni CCM bro eeh?Hampendi jina lifike mbali 😂😂😁😁
Kudadadeki. Never kaka never. Hakuna CCM anayetambua uwepo wa Tanganyika. Mimi upinzani, yaani ni mpinzani tuu nature yangu hata kama wakachukua serikali watu wengine nitakuwa mpinzani tuu 😂😂. Sababu naamini bila upinzani hakuna Demokrasia.Wewe ni CCM bro eeh?
Sawa bro ila unamawazo ya kikaburu CCM bro. I mean Unamawazo kama ya Babu tale.Kudadadeki. Never kaka never. Hakuna CCM anayetambua uwepo wa Tanganyika. Mimi upinzani, yaani ni mpinzani tuu nature yangu hata kama wakachukua serikali watu wengine nitakuwa mpinzani tuu 😂😂. Sababu naamini bila upinzani hakuna Demokrasia.