Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Hivi ni kwa nini watu wanaoziacha dini zao za awali na kuingia kwenye dini mpya wanakuwa ni wakereketwa sana kuliko wenye dini haswa.
Mfano mtu akitoka kwenye uislamu akiingia ukristo anakuwa mkereketwa sana kuliko aliowakuta na ukristo wao,
hali kadhalika mtu akitoka kwenye ukristo na kuingia uislamu anakuwa mfurukutwa sana kuliko hata ma sheikh wa mujahidin aliowakuta na wakamfunza dini?
Mfano mtu akitoka kwenye uislamu akiingia ukristo anakuwa mkereketwa sana kuliko aliowakuta na ukristo wao,
hali kadhalika mtu akitoka kwenye ukristo na kuingia uislamu anakuwa mfurukutwa sana kuliko hata ma sheikh wa mujahidin aliowakuta na wakamfunza dini?