UKAWA yavuka boda, Lowassa gumzo Kenya

UKAWA yavuka boda, Lowassa gumzo Kenya

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Umaarufu wa Lowassa hautii shaka kimataifa. Vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa vinamzungumzia sana. Tuache huko.. Hata nchi za jirani nako vyombo vyao vya habari Lowasa ameteka pia huko kuanzia habari zao hadi makala.

Hapo Kenya jina la Lowassa linatajwa sana na lipo midomoni mwa wakenya utadhani ni raia wao. Mitaa ya Nairobi, Kisumu, Eldoret, Mombasa na kwingineko jina ni Lowassa.

Jamaa anajulikana sana kimataifa na pia ana uelewa mkubwa sana juu ya masuala ya kimataifa na anazungumza kiingereza safi kupindukia. Hapa tumepata jembe.

attachment.php
 

Attachments

  • 1442649492982.jpg
    1442649492982.jpg
    23.4 KB · Views: 4,141
Aisee good steps... Nasikia Magufuli nae ni rafiki mzuri wa Odinga
 
Umaarufu wa Lowasa hautii shaka kimataifa. Vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa vinamzungumzia sana. Tuache huko.. Hata nchi za jirani nako vyombo vyao vya habari Lowasa ameteka pia huko kuanzia habari zao hadi makala. Hapo Kenya jina la Lowasa linatajwa sana na lipo midomoni mwa wakenya utadhani ni raia wao. Mitaa ya Nairobi, Kisumu, Eldoret, Mombasa na kwingineko jina ni Lowassa. Jamaa anajulikana sana kimataifa na pia ana uelewa mkubwa sana juu ya masuala ya kimataifa na anazungumza kiingereza safi kupindukia. Hapa tumepata jembe...

LOWASA is the next Tanzanian President and let everybody say amen!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sio kenya tu, mpaka Rwanda, Zambia, Uganda na Malawi wanamzungumzia Lowassa tu. Madereva kadhaa wa malori yanayokwenda nje ya Tanzania wanasema hayo.
 
Safiiiiiiii.... nyota inang'aaaaa tu...!!!

DUNIA nzima inamjua Lowassa, hadi Marekani WHITE HOUSE inajua Lowassa ndie Rais ajaye...!!!


Wema wa MUNGU umemzunguka Lowassa...!!!
 
Magufuli Hata MaCCM Wanakiri Vila Shaka ya Kwamba Anasindikiza Lowassa.

Mpaka sasa Tafiti zote zinacheza: Lowassa Above 70% While Dr. Magufuli Below 20%....Kwa Mud a Uliobaki Ni Miujiza Tu Inahitajika Kwa Magufuli Angalau Kupata 30%...

Tafakari then Weka Tayari Kichinjio tumalize kazi Hii Muhimu.
 
Redet:

Lowassa 69%
Magufuli 21%

Na Bado.

Ngoja niwacheke CCM kidogo...
Hahahahahhahahahahhahahahahahahhahaahahahahhaahahhaahahahahahhaahhahahah.
 
Hawaamini eti"Star tv wanabana kumbe EL mpaka USA
 
Wakenya sio kama wa-Tz, hawana akili za nyumbu, watakuwa wanashangaa kujusu huyu jamaa na wanaomuabudu!
 
Back
Top Bottom