Hata jina la Magufuli linatajwa sana Kuwait kwa mzee Saddam
Mbavu zangu mieeeeee!
Hata jina la Magufuli linatajwa sana Kuwait kwa mzee Saddam
..Ndio " Yale Madini makubwa makubwa" Tutapanga yale makubwa makubwa...Tutawapa wakubwa wakubwa...!!!Umaarufu wa Lowassa hautii shaka kimataifa. Vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa vinamzungumzia sana. Tuache huko.. Hata nchi za jirani nako vyombo vyao vya habari Lowasa ameteka pia huko kuanzia habari zao hadi makala.
Hapo Kenya jina la Lowassa linatajwa sana na lipo midomoni mwa wakenya utadhani ni raia wao. Mitaa ya Nairobi, Kisumu, Eldoret, Mombasa na kwingineko jina ni Lowassa.
Jamaa anajulikana sana kimataifa na pia ana uelewa mkubwa sana juu ya masuala ya kimataifa na anazungumza kiingereza safi kupindukia. Hapa tumepata jembe.
![]()
Hatuhangaiki nao hakuna wapiga kura wetu huko Nairobi wala huyo kenyata sio mpiga kura wetu magufuli anatosha