UKAWA Wavunjika Rasmi

Nakubaliana na wewe Mkuu. Mbowe kaua UKAWA kwa tamaa zake
Mbowe ni mfanya biashara na siasa kaifanya kama njia rahisi ya biashara zake ya kujizidishia mapato yake
 
mkuu lizaboni jahazi la ukawa lilianza kuzama baada ya kukalibsha hili dubwana
 
Mkuu ni kweli madelu anawamaliza vijana wote wa lumumba, kuanzia kina shonza na familia za hao kina lizaboni
 
Umeishia hadmawazo wegamba yawezekana hunaata mwelekeo wamaisha yako ,UKAWA itabaki imala tu daima.
 
Mkuu nakubaliana nawe kwani kwetu chadema taendelea kumlau mbowe
 
mwenzao aliona kiama mapema akasepa fasta
 
baada ya kufukuzwa ccm kwa kosa la kucheza rafu nyng, ikiwemo ufisadi, ukawa wao wakamsajili huyohuyo MCHEZA RAFU
 
Wanafunzi Shule ya
msingi Bumira,
Dodoma hatarini
kupatwa na magonjwa
ya mlipuko kutokana na
kujisaidia vichakani kwa
kukosa vyoo
#HabariLEO





Wanafunzi zaidi ya elfu
2 shule ya msingi
Nyakanazi, Kagera
wanasomea chini ya
miti kwa kukosa
vyumba vya madarasa
#GazetiMWANANCHI
#Feb21






Hapa Kazi Tu
 
mi nadhani kunapokuwepo na upinzani imara ni jambo jema kwa maendeleo ya nchi...cha kushangaza ni pale mtu anapofurahia upinzani legelege...kwa faida ya nani!!!
 
Teuzi za maDCs wapya zikishafanyika, cjui kama humu ndani habari za umbea khs UKAWA zitakuwepo tena....???
 
Uhusiano wako na aliyekutuma utavufunjika, lakin siyo Ukawa
 
Ukawa uliwaumiza sana ccm. Hawakutarajia. Walikuwa wakitabiri kila diku eti ukawa hawafika uchaguxi mkuu. Leo ukawa imekufa. Ukawa itakufaje wakati wanaunda kambi moja ya upinzani bungeni? Au kila chsmsvsasa kina kambi yake?
Umesema Mbatia kaandika barua ya kujitoa ukawa bila hsta udhibitisho?
Stori yako hata haishikani vixuri.
Hata hivyo tunajua hii ndiyo kazi inayokuweka mjini! Bila kuposti prooaganda hapa watoto wako hawaendi choo! So keep it up!
 
Bila siasa safi na upinzani imara inakuwa ngumu...japo angalau JPM ameonyesha njia tumuunge mkono.

Hilo ndio tatizo kubwa la watanzania, hatujui siasa ni nini hatimayake tuna shangilia siasa kama tunavyo shangilia yanga na simba. Unaona mtu kaleta mada ndefu ya kisiasa lakini watu badala ya kujibu kisiasa wanaanza kushambuliana kwa matusi.
Bila upinzani hakuna maendeleo, tunarudi tena nyuma enzi za Marhemu Nyerere.
Kinachotakiwa tuwe na wapinzani imara, wanasiasa imara lakini mwaafrika anacho angalia kwanza ni maslaha yake na tumbo lake.
Mh. Raisi amefanya mambo makubwa sana ambayo hayajawahi kufanyika na hata hivyo kuna mapungufu na kuna changa moto. Ndio hapo tunahitaji kujadili kisiasa badala ya matusi na ukejeli.
 
Teuzi za maDCs wapya zikishafanyika, cjui kama humu ndani habari za umbea khs UKAWA zitakuwepo tena....???
Kwani kuna uhusiano gani baina ya teuzi na mada za jamiiforums?
 
Uhai na uimara wa chama cha siasa ni ofisi ya katibu mkuu. CCM ya Y.Makamba ni tofauti Sana na ya Kinana. Mbowe alishindwa kuelewa umuhimu wa Dr Slaa kama GS wa chama,alifikiri CDM ni kama danguro,linajiendea tu. Dr Slaa alikuwa ndo CDM,think tank ya chama,msimamizi wa shughuli na nidhamu ya chama. Leo hii hakuna nidhamu,kila mtu boss,hakuna ratiba ya vikao,mpango kazi,hakuna operesheni yoyote iliyobuniwa. Enzi ya Dr Slaa ilikuwa patashika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…