Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
either way,hata mchakato ukisimama hawatakula hasara yeyote na ukisimama,uchaguzi ujao inatumika katiba ya sasa.Haujui jinsi gani JK amepata pigo kubwa na haujui jinsi gani anashauriwa asitishe bunge hili kwa ajili ya hatua ya UKAWA. Ungesubiri usikie hotuba yake ya jumamosi kwanza, hotuba ambayo maandaliz yake ni pamoja na kuwadhibiti ukawa wasimtangulie kwa hoja mbele ya umma.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums