UKAWA Wanahofia Kuzomewa Pindi Wakirudi BMK

UKAWA Wanahofia Kuzomewa Pindi Wakirudi BMK

pia unaweza tuambia kwa nin maccm wanalazima mawazo ya lumumba, wana sababu gani ya msingi badala ya maoni ya wananchi?

wataalam wa kiswahili watusaidie maana ya neno LAZIMISHA hivi mtu mzima kama Prof. Lipumba, Prof. Mbowe mzee wa anga, Mtikila anayethubutu kuipeleka serikali yake mahakamani ni watu wa KULAZIMISHWA? acheni kuwatukana viongozi wenu wa UKAWA! kulazimisha ni sawa na kubaka.
 
Ni baada ya kutoka bunge la katiba kwa mbwembwe na kiburi kama timu ya mpira iliyofuzu mashindano huku wakijua na kuamini Watanzania wa sasa ni wale wa mwaka wa 47, wakaamini lengo lao la kutoka litashangiliwa na kila mtu.

Baada ya kujidhihirishia kosa lao la kukimbia majadiliano, na kukosa support ya walio wengi kuendelea kugoma kurudi bungeni, Sasa wanatamani Sana kurudi ila wanahofia kuzomewa na wabunge na wajumbe ambao hawakutoka, wala hakuna sababu nyingine.

Rai yangu kwa mh. Sitta, awahakikishie kutokuzomewa pindi watakaporudi.

Unajua BMK wamekula mabilion ya pesa wasituchezee kabisa! Bado kuna ishu nimesikia harufu kwa mbaaali ya PPRA ya ununuzi wa BVR kwa $117, zaidi ya Tsh.295 bilion!

Kuna hoja nyingine ni za kijinga sana, kiasi kwamba hata kuzijadili ni kichefuchefu.

Wewe ukizitathmini tamaa zako, na kuzipa nafasi zikutawale, wenzako wanajua namna ya kuziepuka tamaa za kijinga na zinazodhalilisha utu wa mwanadamu,

Hitaji la UKAWA ni hitaji na wananchi kwa muda mrefu, sio hitaji la CCM, CCM hawana mpango na katiba mpya, na tafsiri ya katiba mpya ni kutunga katiba kutokana na maoni ya wananchi, ambapo tangu kuumbwa kwa huu Ulimwengu, Taifa letu halijawahi kupata fursa hiyo

CCM waliunda tume kadhaa za kukusanya maoni, majibu yalikuja, serikali 3! Na kwenye tume zote zilizoundwa ziliongozwa na makada wa CCM, hii ya Warioba ilichanganya wajumbe, ila zilizopita zote ni za wana CCM!

kila hatua, ya tume, Mwenyekiti wa CCM alikuwa anajulishwa

Leo mnataka maoni ya wananchi muyanajisi? Leo mnataka kutueleza tume ya warioba haikutenda kazi ipasavyo? Leo mnataka kutuambia mabilioni ya tume ya warioba yalipotea bure?

Leo mnaringishia eti mnapandisha posho hadi laki saba, ili kuwatamanisha wajumbe wa ukawa, mnadhani wao wanatamaa kama ninyi?

Leo mnataka mbadili kanuni ili mpitishe rasimu yenu ya 'Serikali mbili Zilizoboreshwa' kwa wingi wenu kama mnavyopitisha bajeti zenu feki zenye madosari dosari?

Fanyeni kila mnaloliona linawapendeza machoni penu, ila ipo siku, Wananchi wa Tanganyika na Wazanzibari watapata hitaji lao.

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki Zanzibar
 
Natamani modes, wangeweka sheria hapa JF, kwenye profile kuwe na CV ya mtu ili tuwe tunajua nini cha kusema kwa nani. Itatusaidia sana kufahamu nani anstahili muda wa kujadiliana naye. Akili kama yako, licha ya kutostahili kuwa hapa, hata kwenye kamati ya familia hufai!. Labda kijiwe cha waliotoroka shule ili kutafuta kazi ya kuokota na kuuza chupa za maji ya kilimanjaro majalalani.

Kusema ukweli kwenye kikao cha watu wanaoona na kujadili masuala mazito ya maendeleo hustahili kuwepo. Nenda shule kwanza.


Ni baada ya kutoka bunge la katiba kwa mbwembwe na kiburi kama timu ya mpira iliyofuzu mashindano huku wakijua na kuamini Watanzania wa sasa ni wale wa mwaka wa 47, wakaamini lengo lao la kutoka litashangiliwa na kila mtu.

Baada ya kujidhihirishia kosa lao la kukimbia majadiliano, na kukosa support ya walio wengi kuendelea kugoma kurudi bungeni, Sasa wanatamani Sana kurudi ila wanahofia kuzomewa na wabunge na wajumbe ambao hawakutoka, wala hakuna sababu nyingine.

Rai yangu kwa mh. Sitta, awahakikishie kutokuzomewa pindi watakaporudi.

Unajua BMK wamekula mabilion ya pesa wasituchezee kabisa! Bado kuna ishu nimesikia harufu kwa mbaaali ya PPRA ya ununuzi wa BVR kwa $117, zaidi ya Tsh.295 bilion!
 
Natamani modes, wangeweka sheria hapa JF, kwenye profile kuwe na CV ya mtu ili tuwe tunajua nini cha kusema kwa nani. Itatusaidia sana kufahamu nani anstahili muda wa kujadiliana naye. Akili kama yako, licha ya kutostahili kuwa hapa, hata kwenye kamati ya familia hufai!. Labda kijiwe cha waliotoroka shule ili kutafuta kazi ya kuokota na kuuza chupa za maji ya kilimanjaro majalalani.

Kusema ukweli kwenye kikao cha watu wanaoona na kujadili masuala mazito ya maendeleo hustahili kuwepo. Nenda shule kwanza.

unaijua shule wewe?
 
Kuna hoja nyingine ni za kijinga sana, kiasi kwamba hata kuzijadili ni kichefuchefu.

Wewe ukizitathmini tamaa zako, na kuzipa nafasi zikutawale, wenzako wanajua namna ya kuziepuka tamaa za kijinga na zinazodhalilisha utu wa mwanadamu,

Hitaji la UKAWA ni hitaji na wananchi kwa muda mrefu, sio hitaji la CCM, CCM hawana mpango na katiba mpya, na tafsiri ya katiba mpya ni kutunga katiba kutokana na maoni ya wananchi, ambapo tangu kuumbwa kwa huu Ulimwengu, Taifa letu halijawahi kupata fursa hiyo

CCM waliunda tume kadhaa za kukusanya maoni, majibu yalikuja, serikali 3! Na kwenye tume zote zilizoundwa ziliongozwa na makada wa CCM, hii ya Warioba ilichanganya wajumbe, ila zilizopita zote ni za wana CCM!

kila hatua, ya tume, Mwenyekiti wa CCM alikuwa anajulishwa

Leo mnataka maoni ya wananchi muyanajisi? Leo mnataka kutueleza tume ya warioba haikutenda kazi ipasavyo? Leo mnataka kutuambia mabilioni ya tume ya warioba yalipotea bure?

Leo mnaringishia eti mnapandisha posho hadi laki saba, ili kuwatamanisha wajumbe wa ukawa, mnadhani wao wanatamaa kama ninyi?

Leo mnataka mbadili kanuni ili mpitishe rasimu yenu ya 'Serikali mbili Zilizoboreshwa' kwa wingi wenu kama mnavyopitisha bajeti zenu feki zenye madosari dosari?

Fanyeni kila mnaloliona linawapendeza machoni penu, ila ipo siku, Wananchi wa Tanganyika na Wazanzibari watapata hitaji lao.

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki Zanzibar

ukitumika, kuwe na mipaka ya kutumika kwako usije ukatumika hadi kusikofaa kwa matumizi hasa na hao Waarabu. Hiyo Tanganyika mbona kuanzia b4 katiba kurudi nyuma hukuipa kipau mbele kama sasa? Ama haikuwepo?
 
Mwanzo mlizani UKAWA wanabip sasa mmeona wapo serious na siku zinakaribia
 
Mtoa thread ameonyesha the highest level of his/her insanity..
 
si mlisema mnaweza kuendelea bila ukawa? Kwa nini msiendelee? Ukwawa wana faida gani kwenu?

hiyo ni timing kama mpiga penati anatishia kulia ukifuata huko unafungwa kushoto
 
Ukawa wameona mbali.
Ili wasilaumiwe wameona wajitenge.
Kama 2/3 ya bunge ipo c waendelee!
CCM wanajua serikali mbili n maslah ya chama ndio yanayolindwa, so ila isijekuwa "nao walikuwemo" UKAWA wakajitenga.
Tumieni wingiwenu bungen kakilinda chama.
Binafsi nahitaj mabadiliko. Hivyo hata kama ni kidogo kutoka UKAWA ni muhmu kuliko kutokuwepo kabisa.
Uoga wetu watz ndio unaotuweka vilevile miaka nenda rud.
TUTHUBUTU BASI JAMANI.
 
Back
Top Bottom