UKAWA wanafanya Press conference muda huu

UKAWA wanafanya Press conference muda huu

Ulivyokurupuka utafikiri umekalia kigogo... Mambo ya UKAWA unakuhusu nini? endeleeni na Association of Criminals in Tanzania ... Crime Rates itaendelea kuwa juu hadi baada ya Uchaguzi Mkuu! Hilo tunalitambua maana ESCROW haikuwatosha ... UKAWA ndo suluhisho la Umasikini kwa Watanzania waliochoka kupuuzwa, kunyanyaswa na kudharauliwa Huku Rasilimali zao zikitapanywa hovyo ....

umeongea vema sana mkuu lakini kwa kuwa migamba ina akili za kushikiwa haitaelewaj somo.
 
Haiwezekani huu muungano wa vyama. Wote hapo ni wasanii.mara mbatia ataka kujitoa. Mara nld wapewa majimbo 2 . hapo wameona wazuge zuge ili wagawanyike kila mtu apate sababu. Ninaamini hao viongozi wamesha hogwa na maccm . sisi wananchi tunawaasubili waje kama timu(ukwa)kikija kichama kimoja kimoja wapigwe. Watakuwa wameonyesha uloho, ubinafsi, uchu wa madaka,

mbona povu? tulia sindano ziingie wewe kibaraka wa magamba.
 
Kila la kheri viongozi wetu. Sisi huku tumejiandaa kwa hali na mali ili oktoba wale kina "Thomaso" waamini "kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.

Thomaso anakuhusu nini wee mkoloni WA mawazo
 
mbowe ni nani mpaka awe na imani na tume ya uchaguzi? sisi wananchi ndio tunatakiwa kusema kua hatunaimani na tume kwasababu kura tume wanazohesabu sio za mbowe wala ccm ni zakwetu wananchi na kwanini mbowe anatishia tishia nchi kitoto hivi?serikali ipo wapi?????

mbona povu? CCM mlizoea kuchakachua kura kupitia NEC, safari hii hamna pa kutokea...magamba wakubwa!
 
UKAWA TUMAINI LETU.tuna imani na ukawa hawa ccm vimeo na hakuna aliyemsafi ndani ya chama chao nawashangaa watu wanatetea ccm sijui wamekula maharage ya wapi hawa.
 
hii nchi ni yakidemokrasia mtu ukitofautiana nae anakutukana kama unataka mawazo yako peke yako tengeneza dunia yako na kama huna hoja kaa pembeni mambo ya matusi hapa sio sehemu yake naomba mode mliangalie hili kuna jamaa anatukana kwasababu tumetofautiana mawazo sio fear kabisa yani
 
mknd wako wewe mkabila na mbaguzi mkubwa! mazezeta kama wewe ndio mnaochelewesha ukombozi wa nchi hii.

endelea kutukana sio itikadi yangu kama mbowe angekua mzalendo basi angeitisha maandamano kwenye jimbo lake lakini hata siku moja hujawahi kusikia kilimanjaro watu wameandamana kwanini jiulize wewe ukipata jibu ndio uje na matusi mengine hapa na kutukana sio hoja hoja ni kuelewa unachokiongea hapa sio facebook kua ndugu.
 
Hahahaa Mzee Makaidi kanichekesha sana,


kicheko kingi mwisho ..................

naendelea kukusifu kijana kwa kujipa moyo. uko sahihi kujipa moyo mwenyewe, maana ukitegemea eti kuna mtu atukupa moyo hutompata. bora uendelee ivo ivo. maana siku za majonzi kwenu zinakaribia.

Phase 1 ya kufyeka fyeka misitu imezaa matunda mazuri kwa kuwachanganya wana ufipa wote na kuwafanya wasambae kama inzi nchi nzima angalau kujiridhisha lakini kwa masikitiko makubwa mapokezi yao haikuwa kama zamani ilivyokuwa.

this show bad future for ur party.

Subiri ngoma irejee kitaa mtawatambua Watanzania ni watu gani
 
ccm haikwenda ikulu yenyewe iliwekwa pale na wananchi na wananchi ndio wanahaki ya kuwatoa ila wewe tusi lako haliwezi kutoa ccm madarakani na wala kwa matusi yako hujashinda uchaguzi na tambua tanzania ni kubwa na tuko watu wenye mitazamo tofauti UKAWA =UJINGA KAWAIDA YA WAPINZANI kama kawa kama dawa ccm ikilu tena 2015-2025 kama huamini waulize wazazi wako kaka watakuambia.........!
Vipi binti hujatoka tu kwenye Siku zako?
 
Mbona Ukawa hawatutajii rais wetu mtarajiwa?

Mambo yalishakuwa kuwa magumu huoni wanapata kigugumizi, cuf wanamtaka lipumba chadema wanamtaka slaa nani amwachie mwenzake ,hapo ndio kwenye utata.
 
ndio wazazibwako.waliyo kukuza nayo so hakuna kingine utakachokikumbuka zaidi ya hayo maharage hakuna mtu mwenye akili zake aubtaahira atakayekubali chadema kua madarakani.................!
Mie mwananchi wa kawaida maharage ndio chakula changu. Na kwa kutambua na mimi nasitahili kula chakula kingine mimeamua kuwang'oa Chama Cha Zamani. Ima sina akili au ninazo. Lakini kwa takwimu za kitaalamu udumavu wa akili ni janga lataifa. Kwa maana hiyo tusio na akili niwengi kiasi cha kutosha kuwang'oa hao wenye kutumia milioni 10 kwa mboga.
 
Back
Top Bottom