mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,546
Mkuu sheria za nchi zinasema kama raisi anatoka Tanganyika mwenza wake lazima atoke Zanzibar...vice versa is trueSlaa ndio mgombea, mwenza ni Lipumba.
Mkuu sheria za nchi zinasema kama raisi anatoka Tanganyika mwenza wake lazima atoke Zanzibar...vice versa is trueSlaa ndio mgombea, mwenza ni Lipumba.
Any updates kuhusu mgombea uraisi na mwenza kupitia UKAWA atatokea chama gani.......
Ili iweje?Watupe orodha ya majimbo waliyogawana NCCR ,CUF na NLD wamepata mangapi,waache kupiga piga chenga
hiyo ni sheria ipi?namba ngapi?nijuavyo mimi that is just a best practiceMkuu sheria za nchi zinasema kama raisi anatoka Tanganyika mwenza wake lazima atoke Zanzibar...vice versa is true
Slaa ndio mgombea, mwenza ni Lipumba.
Hahahahahaaaaaaaaaa! Naona sasa ukawa wamechanganyikiwa. Ukiona wanatumia nguvu nyingi kukanusha uvumi wa kwenye media basi ujue wamenaswa
Ukawa watuambie kwa nini jana Mbatia na wajumbe wa NCCR Mageuzi walitoka nje ya kikao kwa hasira kabla hakijamalizika.
huo ni unafiki,kwa hiyo Mbatia ndo ataua allianceNashauri UKAWA uraisi wampatie Prof. Lipumba, ushirikiano utakuwa wa dhati.
Hao wate wachumia tumbo chadema ishazikwa
Ulivyokurupuka utafikiri umekalia kigogo... Mambo ya UKAWA unakuhusu nini? endeleeni na Association of Criminals in Tanzania ... Crime Rates itaendelea kuwa juu hadi baada ya Uchaguzi Mkuu! Hilo tunalitambua maana ESCROW haikuwatosha ... UKAWA ndo suluhisho la Umasikini kwa Watanzania waliochoka kupuuzwa, kunyanyaswa na kudharauliwa Huku Rasilimali zao zikitapanywa hovyo ....