Mr Chin, Ninaomba nikushukur wa moyo wangu wote kwa kunisaidia. Ukwli Muda wote huu wote nilikuwa sijui. Ila nlikuwa nikihisi tu kwa tathmini ya mazingira nilyokuwa nikiyaona.
Kwa hiyo, huu ndio ushahidi mmepeleka ICJ?
Ila kama mmepeleka, hongereni sana mtalikomboa taifa.
Ila hata kama hamjapeleka ila ni mtazamo wako tu, wakuu wako hawajauchukua ushahidi huu muhimu, basi hongera sana kwa kutusaidia watu hapa mtandaoni.
Kwa mantiki hiyo, kuanzia leo sintashuhulika na taarifa yoyote inayoandikwa na wwe
Mr Kidevu kwa sababu umshanipa ukweli wa kiwango chako cha akili na ufahamu wa maswala ya kawaida.
Kumbe twaweza waliposema Ccm inashabikiwa na majuha, walikuwa sahihi. Hiki ndicho kiwango cha Mr Chini ambaye ccm imemwamini kuwa mwakilishi wa propaganda zak zote hapa mtandaoni.
Kweli Ccm ni chama cha majuha.
WANAJAMVI, NANI ATAKUWA NA HAJA YA KUPOTEZA MUDA WA KUTAFITI UJUHA WA
Mr Chin, baada ya hii aibu tena iliyomwacha utupu kama vile kichwa chake kilivyo?