Leo ni Wafanyakazi hewa,siku UKAWA wakiingia madarakani,ni watuhmiwa wa EPA,ESCROW,RICHMOND,n.k

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,993
144,329
Ukweli ni kwamba mabadiliko ya kweli ya kusafisha nchi hii na kukamata wezi na mafisadi wote wa nchii bila kujali vyeo au nafasi zao katika jamii hayawezi kuletwa na CCM bali yataletwa na wapinzani siku upinzani ukifanikiwa kushika dola iwe ni mwaka 2020,2025,2030 au vinginevyo.

CCM baada ya kugundua kuwa hali imekuwa mbaya kwao kitu kilichopelekea hata mgombea wa uraisi wa chama chao kuzomewa wakati wa kampeni mwaka jana,sasa wameamua kujaribu kujisafisha na kupitia watumishi wa umma ndio wamepata pa kutokea huku kashifa kubwa za mabilioni ya shilingi zikipewa kisogo utadhani fedha zilizopotea kupitia kashifa hizo hazikuwa za walipa kodi wa nchi hii!

Hivi sasa watanzania wanaonekana kufurahia hatua zinazochukuliwa na serikali hii bila kujali kuwa kashifa kubwa kama za EPA, ESCROW, RICHMOND,n.k hazifanyiwi kazi.

Kwanini hali hii:Sababu kubwa ni kuwa, watanzania hawa walishakata tamaa hivyo inabidi washukuru na kufurahia hata kwa kile kidogo kilichopatikana na hiki kidogo si kingine bali ni hatua za Magufuli na serikali yake kujaribu kumaliza uozo uliopo kwa kutumia "selective style" ambayo mpaka sasa haijagusa wanasiasa /vigogo wakubwa.

Yaani hivi sasa watanzania miyoni mwao wanajisemea: "something is better than nothing" hivyo wanashukuru walau kwa hiki kidogo kilichopatikana kwahiyo msifikiri ni wajinga hawayajui yaliyoko nyuma ya pazia ila wanavumilia tu na mtambue mioyoni mwao furaha yao bado haijakamilika.

Watanzania hawa leo hii wanafurahia lakini mimi nawambia wakati unakuja ambao watanzania hawa hawatafurahia tu,bali watafurahia huku wakicheza mdundiko watakapoona "mapapa" wa ufisadi wakipanda mahakamani kujibu tuhuma zao hata wakiwa ni wazee wa miaka 80 na kuendelea na ninaamini wakati huo tutakuwa na katiba mpya ambayo hata kile kinachoitwa "kinga ya raisi" hakitakuwepo katika katiba hiyo na hapo ndio kila mtu atawajibika kwa madhambi yake.

Wakati huo ukifika kila aliehusika katika EPA, ESROW, RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,N.K atabeba mzigo wa wake na hapo ndio tutakuwa tumefikia kilele cha mabadilko tunayoyataka.

"MUOSHA, HUOSHWA."
 
Mbona mnatumia kila nguvu kuhakikisha hawashika dola?Hata Umeya tu ilikuwa kazi!
Hata hilo hawana uwezo nalo kwa sasa, bado sana! Mnatimua wazuri mnakaribisha mafisadi mkishindwa mnasingizia kunyimwa demokrasia?
Itafuteni demokrasi kwenu wenyewe kisha mtaipata huku nje.
 
Ukweli ni kwamba mabadiliko ya kweli ya kusafisha nchi hii na kukamata wezi na mafisadi wote wa nchii bila kujali vyeo au nafasi zao katika jamii hayawezi kuletwa na CCM bali yataletwa na wapinzani siku upinzani ukifanikiwa kushika dola iwe ni mwaka 2020,2025,2030 au vinginevyo.

CCM baada ya kugundua kuwa hali imekuwa mbaya kwao kitu kilichopelekea hata mgombea wa uraisi wa chama chao kuzomewa wakati wa kampeni mwaka jana,sasa wameamua kujaribu kujisafisha na kupitia watumishi wa umma ndio wamepata pa kutokea huku kashifa kubwa za mabilioni ya shilingi zikipewa kisogo utadhani fedha zilizopotea kupitia kashifa hizo hazikuwa za walipa kodi wa nchi hii.

Hivi sasa watanzania wanaonekana kufurahia hatua zinazochukuliwa na serikali hii bila kujali kuwa kashifa kubwa kama za EPA, ESCROW, RICHMOND,n.k hazifanyiwi kazi.

Kwanini hali hii:Sababu kubwa ni kuwa, watanzania hawa walishakata tamaa hivyo inabidi washukuru na kufurahia hata kwa kile kidogo kilichopatikana na hiki kidogo si kingine bali ni hatua za Magufuli na serikali yake kujaribu kumaliza uozo uliopo kwa kutumia "selective style" ambayo mpaka sasa haijagusa wanasiasa /vigogo wakubwa.

Yaani hivi sasa watanzania miyoni mwao wanajisemea: "something is better than nothing" hivyo wanashukuru walau kwa hiki kidogo kilichopatikana.

Watanzania hawa leo hii wanafurahia lakini mimi nawambia wakati unakuja ambao watanzania hawa hawatafurahia tu,bali watafurahia huku wakicheza mdundiko watakapoona "mapapa" wa ufisadi wakipanda mahakamani kujibu tuhuma zao hata wakiwa ni wazee wa miaka 80 na kuendelea na ninaamini wakati huo tutakuwa na katiba mpya ambayo hata kile kinachoitwa "kinga ya raisi" hakitakuwepo katika katiba hiyo na hapo ndio kila mtu atawajibika kwa madhambi yake.

Wakati huo ukifika kila aliehusika katika EPA, ESROW, RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,N.K atabeba mzigo wa wake na hapo ndio tutakuwa tumefikia kilele cha mabadilko tunayoyataka.

"MUOSHA, HUOSHWA."
Kama Ukawa ilidirki kumpa bendera fisadi wa Richmond agombee urais na kumtema baba wa vita dhidi ya ufisadi unataka kutubadilishia gia angani tuisifie ukawa??

Hebu anzeno kwa kurejesha list of Shame kwenye tivuti yenu tuone uhalisia wa haya unayotaka kuyasema
 
Kwa mfumo Wa chama cha ccm ni ngumu kupambana Na mfumo ili nipambane Na ufisadi ccm ni upambane Na mfumo kuna mawazir wana kashfa kuna wenyeviti Wa taifa hadi wilaya wana kashfa wabunge sasa huu mfumo ukipambana nao unakiua chama kabisa Na hakuna ndani ya ccm anaweza kupambana Na mfumo huu wote maana walishasemaga wenyewe hakuna msafi ndani ya ccm kipindi cha kuvua gamba
 
Ukweli ni kwamba mabadiliko ya kweli ya kusafisha nchi hii na kukamata wezi na mafisadi wote wa nchii bila kujali vyeo au nafasi zao katika jamii hayawezi kuletwa na CCM bali yataletwa na wapinzani siku upinzani ukifanikiwa kushika dola iwe ni mwaka 2020,2025,2030 au vinginevyo.

CCM baada ya kugundua kuwa hali imekuwa mbaya kwao kitu kilichopelekea hata mgombea wa uraisi wa chama chao kuzomewa wakati wa kampeni mwaka jana,sasa wameamua kujaribu kujisafisha na kupitia watumishi wa umma ndio wamepata pa kutokea huku kashifa kubwa za mabilioni ya shilingi zikipewa kisogo utadhani fedha zilizopotea kupitia kashifa hizo hazikuwa za walipa kodi wa nchi hii.

Hivi sasa watanzania wanaonekana kufurahia hatua zinazochukuliwa na serikali hii bila kujali kuwa kashifa kubwa kama za EPA, ESCROW, RICHMOND,n.k hazifanyiwi kazi.

Kwanini hali hii:Sababu kubwa ni kuwa, watanzania hawa walishakata tamaa hivyo inabidi washukuru na kufurahia hata kwa kile kidogo kilichopatikana na hiki kidogo si kingine bali ni hatua za Magufuli na serikali yake kujaribu kumaliza uozo uliopo kwa kutumia "selective style" ambayo mpaka sasa haijagusa wanasiasa /vigogo wakubwa.

Yaani hivi sasa watanzania miyoni mwao wanajisemea: "something is better than nothing" hivyo wanashukuru walau kwa hiki kidogo kilichopatikana.

Watanzania hawa leo hii wanafurahia lakini mimi nawambia wakati unakuja ambao watanzania hawa hawatafurahia tu,bali watafurahia huku wakicheza mdundiko watakapoona "mapapa" wa ufisadi wakipanda mahakamani kujibu tuhuma zao hata wakiwa ni wazee wa miaka 80 na kuendelea na ninaamini wakati huo tutakuwa na katiba mpya ambayo hata kile kinachoitwa "kinga ya raisi" hakitakuwepo katika katiba hiyo na hapo ndio kila mtu atawajibika kwa madhambi yake.

Wakati huo ukifika kila aliehusika katika EPA, ESROW, RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,N.K atabeba mzigo wa wake na hapo ndio tutakuwa tumefikia kilele cha mabadilko tunayoyataka.

"MUOSHA, HUOSHWA."
Mkuu hadi mwaka 2030 nadhani watakuwa tayari wanapata hukumu ya Mungu na si hukumu za wanadamu. Hapo kwenye Richmond na nyumba za serikali mbona inakuwa kama friendly fire!!! Ulimsikia Sumaye akiongelea kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali?
 
Kwa mfumo Wa chama cha ccm ni ngumu kupambana Na mfumo ili nipambane Na ufisadi ccm ni upambane Na mfumo kuna mawazir wana kashfa kuna wenyeviti Wa taifa hadi wilaya wana kashfa wabunge sasa huu mfumo ukipambana nao unakiua chama kabisa Na hakuna ndani ya ccm anaweza kupambana Na mfumo huu wote maana walishasemaga wenyewe hakuna msafi ndani ya ccm kipindi cha kuvua gamba
Mkuu unataka kuthibitisha kwamba wale waliokimbilia UKAWA toka CCM nao si wasafi?
 
Kwa mfumo Wa chama cha ccm ni ngumu kupambana Na mfumo ili nipambane Na ufisadi ccm ni upambane Na mfumo kuna mawazir wana kashfa kuna wenyeviti Wa taifa hadi wilaya wana kashfa wabunge sasa huu mfumo ukipambana nao unakiua chama kabisa Na hakuna ndani ya ccm anaweza kupambana Na mfumo huu wote maana walishasemaga wenyewe hakuna msafi ndani ya ccm kipindi cha kuvua gamba
Haya yote yatawezekana tukipata katiba mpya na siku CCM ikitoka madarakani-CCM kutoka madarakani ni swala la muda tu.
 
Ukweli ni kwamba mabadiliko ya kweli ya kusafisha nchi hii na kukamata wezi na mafisadi wote wa nchii bila kujali vyeo au nafasi zao katika jamii hayawezi kuletwa na CCM bali yataletwa na wapinzani siku upinzani ukifanikiwa kushika dola iwe ni mwaka 2020,2025,2030 au vinginevyo.

CCM baada ya kugundua kuwa hali imekuwa mbaya kwao kitu kilichopelekea hata mgombea wa uraisi wa chama chao kuzomewa wakati wa kampeni mwaka jana,sasa wameamua kujaribu kujisafisha na kupitia watumishi wa umma ndio wamepata pa kutokea huku kashifa kubwa za mabilioni ya shilingi zikipewa kisogo utadhani fedha zilizopotea kupitia kashifa hizo hazikuwa za walipa kodi wa nchi hii.

Hivi sasa watanzania wanaonekana kufurahia hatua zinazochukuliwa na serikali hii bila kujali kuwa kashifa kubwa kama za EPA, ESCROW, RICHMOND,n.k hazifanyiwi kazi.

Kwanini hali hii:Sababu kubwa ni kuwa, watanzania hawa walishakata tamaa hivyo inabidi washukuru na kufurahia hata kwa kile kidogo kilichopatikana na hiki kidogo si kingine bali ni hatua za Magufuli na serikali yake kujaribu kumaliza uozo uliopo kwa kutumia "selective style" ambayo mpaka sasa haijagusa wanasiasa /vigogo wakubwa.

Yaani hivi sasa watanzania miyoni mwao wanajisemea: "something is better than nothing" hivyo wanashukuru walau kwa hiki kidogo kilichopatikana.

Watanzania hawa leo hii wanafurahia lakini mimi nawambia wakati unakuja ambao watanzania hawa hawatafurahia tu,bali watafurahia huku wakicheza mdundiko watakapoona "mapapa" wa ufisadi wakipanda mahakamani kujibu tuhuma zao hata wakiwa ni wazee wa miaka 80 na kuendelea na ninaamini wakati huo tutakuwa na katiba mpya ambayo hata kile kinachoitwa "kinga ya raisi" hakitakuwepo katika katiba hiyo na hapo ndio kila mtu atawajibika kwa madhambi yake.

Wakati huo ukifika kila aliehusika katika EPA, ESROW, RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,N.K atabeba mzigo wa wake na hapo ndio tutakuwa tumefikia kilele cha mabadilko tunayoyataka.

"MUOSHA, HUOSHWA."
Sasa hapo kwenye Richmond na Nyumba za Serikali patamu rais wa UKAWA naye atakwenda na maji pamoja na Sumaye.
 
Mkuu unataka kuthibitisha kwamba wale waliokimbilia UKAWA toka CCM nao si wasafi?
Kwa akili zako unaona mwenye kashfa ya ufisadi ccm walikuwa lowasa? tu hadi mwenyekiti wenu ccm Hana kashfa mawazir wana kashfa katibu Ana kashfa jiulize ccm msafi Nani
 
Ukweli ni kwamba mabadiliko ya kweli ya kusafisha nchi hii na kukamata wezi na mafisadi wote wa nchii bila kujali vyeo au nafasi zao katika jamii hayawezi kuletwa na CCM bali yataletwa na wapinzani siku upinzani ukifanikiwa kushika dola iwe ni mwaka 2020,2025,2030 au vinginevyo.

CCM baada ya kugundua kuwa hali imekuwa mbaya kwao kitu kilichopelekea hata mgombea wa uraisi wa chama chao kuzomewa wakati wa kampeni mwaka jana,sasa wameamua kujaribu kujisafisha na kupitia watumishi wa umma ndio wamepata pa kutokea huku kashifa kubwa za mabilioni ya shilingi zikipewa kisogo utadhani fedha zilizopotea kupitia kashifa hizo hazikuwa za walipa kodi wa nchi hii!

Hivi sasa watanzania wanaonekana kufurahia hatua zinazochukuliwa na serikali hii bila kujali kuwa kashifa kubwa kama za EPA, ESCROW, RICHMOND,n.k hazifanyiwi kazi.

Kwanini hali hii:Sababu kubwa ni kuwa, watanzania hawa walishakata tamaa hivyo inabidi washukuru na kufurahia hata kwa kile kidogo kilichopatikana na hiki kidogo si kingine bali ni hatua za Magufuli na serikali yake kujaribu kumaliza uozo uliopo kwa kutumia "selective style" ambayo mpaka sasa haijagusa wanasiasa /vigogo wakubwa.

Yaani hivi sasa watanzania miyoni mwao wanajisemea: "something is better than nothing" hivyo wanashukuru walau kwa hiki kidogo kilichopatikana kwahiyo msifikiri ni wajinga hawayajui yaliyoko nyuma ya pazia ila wanavumilia tu na mtambue mioyoni mwao furaha yao bado haijakamilika.

Watanzania hawa leo hii wanafurahia lakini mimi nawambia wakati unakuja ambao watanzania hawa hawatafurahia tu,bali watafurahia huku wakicheza mdundiko watakapoona "mapapa" wa ufisadi wakipanda mahakamani kujibu tuhuma zao hata wakiwa ni wazee wa miaka 80 na kuendelea na ninaamini wakati huo tutakuwa na katiba mpya ambayo hata kile kinachoitwa "kinga ya raisi" hakitakuwepo katika katiba hiyo na hapo ndio kila mtu atawajibika kwa madhambi yake.

Wakati huo ukifika kila aliehusika katika EPA, ESROW, RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,N.K atabeba mzigo wa wake na hapo ndio tutakuwa tumefikia kilele cha mabadilko tunayoyataka.

"MUOSHA, HUOSHWA."
Sumaye awajibu UKAWA kuhusu uuzaji wa Nyumba za Serikali
 
Kwa akili zako unaona mwenye kashfa ya ufisadi ccm walikuwa lowasa? tu hadi mwenyekiti wenu ccm Hana kashfa mawazir wana kashfa katibu Ana kashfa jiulize ccm msafi Nani
Mkuu mimi sijamsema Lowassa. Mimi nasema waliokimbilia UKAWA toka CCM. Mbona wapo wengi: Masha, Mgeja, Msindai, Ole Medeye, Lowassa, Makongoro, Sinare, Kingunge, nk. Kwa kuwa walitoka CCM na CCM ha,una msafi hata mmoja basi hao wote ni wachafu, au unasemaje? Hiyo ni simple logic mkuu.
 
Nchi haiwezi kupiga za kimaendeleo kwa kutumia akili na mawazo ya watu wale wale walioamua kwa makusudi kabisa kuyakwamisha hayo maendeleo.........tunahitaji mabadiliko makubwa sana ya kimfumo wa kiutawala ndani ya nchi yetu......haya majipu tunayoyaona yanatumbuliwa sio tiba ya kudumu ya vita dhidi ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma....kwani bado sheria zetu ni dhaifu sana katika kuyapigania hayo.....leo hii tunatushuhudia viongozi waliokutwa na hatia za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi wakipewa hukumu za kufagia mahospitalini huku wakiendelea kupata fursa za kuyatumbua mabilioni ya kodi zetu walizotuibia..........wengine tunawaona huko mahakamani wakiwa na nyuso za furaha baada kufanya wizi wao.....

Udhaifu wa sheria zetu katika kupambana na ufisadi na mfumo wa kulindana wa serikali yetu vinaufanya wizi na ubadhilifu kuwa ni jambo la kujivunia ndani ya taasisi mbali mbali ndani ya serikali....tunahitaji kubadilisha hali hiyo ili tusonge mbele kama taifa....
 
Back
Top Bottom