UKAWA waitisha kikao cha dharura

UKAWA waitisha kikao cha dharura

Pole sana dawa ya ujinga ni kutafutya maarifa si kujidhalilisha kwa uongo. ndege imeshapaa kutu ni kwa dharura si kwa hisia
 
Ukawa Nyie Endeleeni Na Vikao Na Kuita Press Conference Za Kutosha Ila Tutawaomba Mjumuike Nasi Pale Uwanja Wa Taifa Wakati Raisi Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Hon.John P Magufuli Akiapishwa Octoba..Karibuni Sana..
 
Acha uzushi mbowe yuko jimboni Hai na kesho ana campaign. Nyie wa kitengo cha masaki mliowekwa na kipara ngoto vepee mnafikiri uzushi ndo utabadilisha watu. Washaamua siku nyingi keep wasting ua energy
 
Nilikwishasema kitambo sana, Ukawa ni mwamvuli unaowakilisha kampuni yenye maslahi kwa Chadema tu na vyama vingine vinasindikiza tu juhudi za Chadema kuingia Ikulu. Watu wameanza kushtuka. Hamjiulizi atakaemwongoza Lowassa ni nani.
Bahati nzuri, hilo linaeleweka na sisi tunaoona mbali.
 
Hata akibakia lowassa peke yake watz washaamua rais ni lowassa full stop.
wameamua lini? we akili yako kweli mbaya. kama unampenda wewe el mkaribishe nyumbani kwako akuongoze sisi oct 25 tunamchagua magufuli.
 
Washapigwa asubuhi kama wataendelea na migogoro yao. Tatizo ni tamaa ndo inayowasumbua hawa viongozi, wanachama nao ndo fuata upepo, mbaya zaidi ukiwauliza kwa nini mzee hakuna jibu la msingi zaidi ya kutamka mabadiliko.

Yaani kutaka mabadiliko huoni kuwa ni jibu la msingi? Kama Ndivyo basi wewe mwenyewe unahitaji mabadiliko!
 
Kufuatia hali kuwa tete ndani ya kambi ya UKAWA, viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wanatarajia kukutana kwa dharura kesho kujadili mwenendo wa umoja wao.

Taarifa za ndani ya UKAWA zinasema Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye yupo nchini Marekani atalazimika kurudi haraka nchini na inaelezwa huenda akaingia usiku huu au mapema kesho kwaajili ya kikao hicho cha dharura ambacho kitaamua hatma ya umoja huo.

Mbali na Mbowe, timu yote ya kampeni za mgombea urais na mgombea mwenyewe pamoja na mgombea mwenza wanatarajia kusitisha kampeni na kurudi Dar es Salaam kwa siku ya kesho hadi watakapopata mwafaka wa masuala yanayobishaniwa ndani ya umoja huo.

Taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana na kupjnga jinsi Chadema wanavyoendesha umoja huo hadi kufikia hatua ya mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na inaelezwa kikao hicho kitatumika kumuomba asijitoe.

CUF wanalalamikia UKAWA kuendeshwa na mtu mmoja ambaye ni Mbowe badala ya kuendeshwa kama taasisi na amekuwa akichukua maamuzi bila kushirikisha wengine.

"UKAWA ni Mbowe na yeye ndo anaendesha mambo anavyotaka kwa maslahi yake na mkwewe mzee Mtei. Huu ni uhuni ambao tulikuwa tunausikia tu ila leo tunajionea baada ya kuingia ndani" alisema kiongozi mmoja wa CUF ambaye alisisitiza kama Mbowe lengo lake lilikuwa ni kuua CUF amefanikiwa ila dhambi hiyo itamtafuna na watahakikisha Chadema haibaki salama.
Samahani! hivi wewe ndio msemaji wa UKAWA!!??
 
Pole sana. Ukawa wakikutana mnasena mgogoro. Nyie chanzo cha matatizo mkikutana au kuitisha press ni kampeni. Kafieni huko. Lowassa ni Rais wetu. Kojoeni mkalale. Majambazi hadi nembo mnaiba. Jambazi haachi asili. Ogopeni ccm kama Ebola.
 
UKAWA KUWA NA KIKAO CHA DHARURA

Kufuatia hali kuwa tete ndani ya kambi ya UKAWA, viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wanatarajia kukutana kwa dharura kesho kujadili mwenendo wa umoja wao.

Taarifa za ndani ya UKAWA zinasema Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye yupo nchini Marekani atalazimika kurudi haraka nchini na inaelezwa huenda akaingia usiku huu au mapema kesho kwaajili ya kikao hicho cha dharura ambacho kitaamua hatma ya umoja huo.

Mbali na Mbowe, timu yote ya kampeni za mgombea urais na mgombea mwenyewe pamoja na mgombea mwenza wanatarajia kusitisha kampeni na kurudi Dar es Salaam kwa siku ya kesho hadi watakapopata mwafaka wa masuala yanayobishaniwa ndani ya umoja huo.

Taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana na kupjnga jinsi Chadema wanavyoendesha umoja huo hadi kufikia hatua ya mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na inaelezwa kikao hicho kitatumika kumuomba asijitoe.

CUF wanalalamikia UKAWA kuendeshwa na mtu mmoja ambaye ni Mbowe badala ya kuendeshwa kama taasisi na amekuwa akichukua maamuzi bila kushirikisha wengine.

"UKAWA ni Mbowe na yeye ndo anaendesha mambo anavyotaka kwa maslahi yake na mkwewe mzee Mtei. Huu ni uhuni ambao tulikuwa tunausikia tu ila leo tunajionea baada ya kuingia ndani" alisema kiongozi mmoja wa CUF ambaye alisisitiza kama Mbowe lengo lake lilikuwa ni kuua CUF amefanikiwa ila dhambi hiyo itamtafuna na watahakikisha Chadema haibaki salama

Wewe umetumwa na ccm hatoki mtu hapa.
 
Nilikwishasema kitambo sana, Ukawa ni mwamvuli unaowakilisha kampuni yenye maslahi kwa Chadema tu na vyama vingine vinasindikiza tu juhudi za Chadema kuingia Ikulu. Watu wameanza kushtuka. Hamjiulizi atakaemwongoza Lowassa ni nani.
Bahati nzuri, hilo linaeleweka na sisi tunaoona mbali.

Babu Duni leo alikuwa viwanja vya Barafu Mburahati na Jumapili atakuwa mkoa wa Manyara Katesh Hanang.
Una lingine la kuzusha!?
 
Back
Top Bottom