Jamanii ,hzo ni mbinu za wapinzani.Kesho ratiba ya mgombea urais inaonyesha yuko wilaya ya temeke.Sasa ninyi mnakaa mnafatilia huo uzi wa kipuuzi ili aingize chochote kitu hko Lumumba.Pili, kuna uwezekano wakafanya fund rising (ukawa) though sijapata bado taarifa sahihi km itafanyika au hapana.Muanzisha uzi anaelewa ratiba ya mgombea wa Ukawa na ameweza kuwashika wenye mioyo ya kulalamika kila wanapodanganywa.
Huyo anayesema mitaani kuna migogoro,migogoro gani?.Wapinzani wanaanzisha uzi na wanachangia wenyewe kuwachanganya.USIYUMBISHWE MTANZANIA mwaka huu ni mabadiliko tu.Kesho kwa kuwa yuko dar mtaamini kuwa kulikuwa na mgogoro mbona Lowasa alikuwa dar.Tuweni makini jamani,tutapotoshwa na wapinzani turudie makosa.
Huyo anayesema mitaani kuna migogoro,migogoro gani?.Wapinzani wanaanzisha uzi na wanachangia wenyewe kuwachanganya.USIYUMBISHWE MTANZANIA mwaka huu ni mabadiliko tu.Kesho kwa kuwa yuko dar mtaamini kuwa kulikuwa na mgogoro mbona Lowasa alikuwa dar.Tuweni makini jamani,tutapotoshwa na wapinzani turudie makosa.