UKAWA waitisha kikao cha dharura

UKAWA waitisha kikao cha dharura

hata kwetu Kibondo madiwani wameweka watatu kila chama kimeweka mgombea hivyo basi wanampa nafasi mgombea Wa CCM kupita kwa urahisi
 
Tamaa na uchu wa madaraka unaviponza vyama vya upinzani. Mzee kununua chadema imekuwa ni pigo tosha la kuwapoteza kabisa kisiasa.
 
Kufuatia hali kuwa tete ndani ya kambi ya UKAWA, viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wanatarajia kukutana kwa dharura kesho kujadili mwenendo wa umoja wao.

Taarifa za ndani ya UKAWA zinasema Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye yupo nchini Marekani atalazimika kurudi haraka nchini na inaelezwa huenda akaingia usiku huu au mapema kesho kwaajili ya kikao hicho cha dharura ambacho kitaamua hatma ya umoja huo.

Mbali na Mbowe, timu yote ya kampeni za mgombea urais na mgombea mwenyewe pamoja na mgombea mwenza wanatarajia kusitisha kampeni na kurudi Dar es Salaam kwa siku ya kesho hadi watakapopata mwafaka wa masuala yanayobishaniwa ndani ya umoja huo.

Taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana na kupjnga jinsi Chadema wanavyoendesha umoja huo hadi kufikia hatua ya mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na inaelezwa kikao hicho kitatumika kumuomba asijitoe.

CUF wanalalamikia UKAWA kuendeshwa na mtu mmoja ambaye ni Mbowe badala ya kuendeshwa kama taasisi na amekuwa akichukua maamuzi bila kushirikisha wengine.

"UKAWA ni Mbowe na yeye ndo anaendesha mambo anavyotaka kwa maslahi yake na mkwewe mzee Mtei. Huu ni uhuni ambao tulikuwa tunausikia tu ila leo tunajionea baada ya kuingia ndani" alisema kiongozi mmoja wa CUF ambaye alisisitiza kama Mbowe lengo lake lilikuwa ni kuua CUF amefanikiwa ila dhambi hiyo itamtafuna na watahakikisha Chadema haibaki salama.

Washapigwa asubuhi kama wataendelea na migogoro yao. Tatizo ni tamaa ndo inayowasumbua hawa viongozi, wanachama nao ndo fuata upepo, mbaya zaidi ukiwauliza kwa nini mzee hakuna jibu la msingi zaidi ya kutamka mabadiliko.
 
Hii ni tactic za kuwapa breathing space CCM na kuwatupa off guard through deviatonal tactics- mahali ambapo yuko Lowassa ogopa sana ni akili tu inatumika-si campaign mnaona inavyokwenda watu kama wanasuasua-wakiingia mikoani maximum impact hadi hatuamini-na bado nyepesi nyepesi za chini ya carpet-LOWASSA has still got an ace in his sleeve na habari zinasema mkulu has got wind of this-hiyo siku nchi itasimamia vidole
 
Kufuatia hali kuwa tete ndani ya kambi ya UKAWA, viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wanatarajia kukutana kwa dharura kesho kujadili mwenendo wa umoja wao.

Taarifa za ndani ya UKAWA zinasema Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye yupo nchini Marekani atalazimika kurudi haraka nchini na inaelezwa huenda akaingia usiku huu au mapema kesho kwaajili ya kikao hicho cha dharura ambacho kitaamua hatma ya umoja huo.

Mbali na Mbowe, timu yote ya kampeni za mgombea urais na mgombea mwenyewe pamoja na mgombea mwenza wanatarajia kusitisha kampeni na kurudi Dar es Salaam kwa siku ya kesho hadi watakapopata mwafaka wa masuala yanayobishaniwa ndani ya umoja huo.

Taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana na kupjnga jinsi Chadema wanavyoendesha umoja huo hadi kufikia hatua ya mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na inaelezwa kikao hicho kitatumika kumuomba asijitoe.

CUF wanalalamikia UKAWA kuendeshwa na mtu mmoja ambaye ni Mbowe badala ya kuendeshwa kama taasisi na amekuwa akichukua maamuzi bila kushirikisha wengine.

"UKAWA ni Mbowe na yeye ndo anaendesha mambo anavyotaka kwa maslahi yake na mkwewe mzee Mtei. Huu ni uhuni ambao tulikuwa tunausikia tu ila leo tunajionea baada ya kuingia ndani" alisema kiongozi mmoja wa CUF ambaye alisisitiza kama Mbowe lengo lake lilikuwa ni kuua CUF amefanikiwa ila dhambi hiyo itamtafuna na watahakikisha Chadema haibaki salama.

Nimemwonyesha Mwenyekiti hii posting amecheka sana. Anasema hicho kikao cha dharura labda amekiita mwenyekiti wako siyo yeye. Anasema kikao chochote atakachofanya hakitakuwa cha dharura kwa sababu CDM ina mpangilio. Mwenzako pia mapema alisema kuwa Mbowe yuko Marekani kumwomba Dr. Slaa msamaha. Hii forum watu kama wewe mnaifanya iwe ni mahali pa majungu badala ya kuitumia kama inavyotakiwa-mahali pa kubadilishana mawazo. Mpaka mwezi wa kumi ufike mtapata shida sana.
 
Nakwambia lowasa anasaidia kuongeza viti vya urais wala sio kuwa rais, na snayebisha akiwa rais animate kichwa
 
Kufuatia hali kuwa tete ndani ya kambi ya UKAWA, viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wanatarajia kukutana kwa dharura kesho kujadili mwenendo wa umoja wao.

Taarifa za ndani ya UKAWA zinasema Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye yupo nchini Marekani atalazimika kurudi haraka nchini na inaelezwa huenda akaingia usiku huu au mapema kesho kwaajili ya kikao hicho cha dharura ambacho kitaamua hatma ya umoja huo.

Mbali na Mbowe, timu yote ya kampeni za mgombea urais na mgombea mwenyewe pamoja na mgombea mwenza wanatarajia kusitisha kampeni na kurudi Dar es Salaam kwa siku ya kesho hadi watakapopata mwafaka wa masuala yanayobishaniwa ndani ya umoja huo.

Taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana na kupjnga jinsi Chadema wanavyoendesha umoja huo hadi kufikia hatua ya mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na inaelezwa kikao hicho kitatumika kumuomba asijitoe.

CUF wanalalamikia UKAWA kuendeshwa na mtu mmoja ambaye ni Mbowe badala ya kuendeshwa kama taasisi na amekuwa akichukua maamuzi bila kushirikisha wengine.

"UKAWA ni Mbowe na yeye ndo anaendesha mambo anavyotaka kwa maslahi yake na mkwewe mzee Mtei. Huu ni uhuni ambao tulikuwa tunausikia tu ila leo tunajionea baada ya kuingia ndani" alisema kiongozi mmoja wa CUF ambaye alisisitiza kama Mbowe lengo lake lilikuwa ni kuua CUF amefanikiwa ila dhambi hiyo itamtafuna na watahakikisha Chadema haibaki salama.

Hivi milembe uliruhusiwa kweli?
 
Wewe inakuhusu nn? Ukawa ishakumbana na matatzo kibao, yoote yanakuwa solved….. Ongelea ishu za upande wako au hakuna mvuto nn?
 
Nimemwonyesha Mwenyekiti hii posting amecheka sana. Anasema hicho kikao cha dharura labda amekiita mwenyekiti wako siyo yeye. Anasema kikao chochote atakachofanya hakitakuwa cha dharura kwa sababu CDM ina mpangilio. Mzee Mtei bado unahangaika kumhusisha wakati yuko Tengeru amepumzika. Mwenzako pia mapema alisema kuwa Mbowe yuko Marekani kumwomba Dr. Slaa msamaha. Mpaka mwezi wa kumi ufile mtapata shida sana.

Maccm yanafikiri hapa jamvini ndio kuna wapiga kura wa kukinusuru ccm, teeeeeh, teeeeeeh imekula kwao dadeeeekiiiiiii
 
Nimemwonyesha Mwenyekiti hii posting amecheka sana. Anasema hicho kikao cha dharura labda amekiita mwenyekiti wako siyo yeye. Anasema kikao chochote atakachofanya hakitakuwa cha dharura kwa sababu CDM ina mpangilio. Mzee Mtei bado unahangaika kumhusisha wakati yuko Tengeru amepumzika. Mwenzako pia mapema alisema kuwa Mbowe yuko Marekani kumwomba Dr. Slaa msamaha. Mpaka mwezi wa kumi ufile mtapata shida sana.
Shida ya nini wakati lowasa anasaidia kuongeza viti vya ubunge tu,urais atausikia icu
 
Nimemwonyesha Mwenyekiti hii posting amecheka sana. Anasema hicho kikao cha dharura labda amekiita mwenyekiti wako siyo yeye. Anasema kikao chochote atakachofanya hakitakuwa cha dharura kwa sababu CDM ina mpangilio. Mzee Mtei bado unahangaika kumhusisha wakati yuko Tengeru amepumzika. Mwenzako pia mapema alisema kuwa Mbowe yuko Marekani kumwomba Dr. Slaa msamaha. Mpaka mwezi wa kumi ufile mtapata shida sana.

Na tayari wengi wao wamekonda ile mbaya
 
Back
Top Bottom