UKAWA waitisha kikao cha dharura

UKAWA waitisha kikao cha dharura

Mtasubiri sanaaaa kuliona hilo,na hamtaliona
 
Naona mnavyojitekenya na kucheka wenyewe
 
Badala muumize kichwa kubuni vitu vya kawaida kabisa kama logo ya mgombea wenu, mnalipwa kutunga story za ajabu ajabu, hapa huwa namshangaa hata huyu boss wenu.
 
Mbona makamanda viongozi wetu wanatuchanganya hivo, tuchukueni maamuzi magumunkama ni hivo, hawa jamaa wanataka kutubuluza.

Makamanda wa kweli wanaojitambua hawawezi kuburuzwa na akili ndogo, ndio maana viongozi wakuu walisepa mapemaa.
 
Atoke hata mbowe, au nani sijui mwaka huu ni maamuzi magumu tu. Kijani sasa baaaaaaasi! Tumechoka tunahitaji MABADILIKO na si MUENDELEZO wa magufuli. Tunamhitaji raisi LOWASAAAAAAAAAA hivyo hivyo alivyoooooooooo!
 
Duh!! Ila magamba wana mbinu za kishamba kweli!!! wameona hii nayo ni mbinu kali sana kuwarubuni wana mabadiliko. Kama mwendo wenyewe ndo huu mkitoka tu baaasi kurudi madarakani itakuwa ndoto,, mmezoea kupeana vyeo bila kujali uwezo wa mtu kwasababu tu ya jina la baba. Lowasa atashinda kwa ulainiìii maana anapambana na matope badala ya ubongo.

We ungeujua ukoo wa Lowasa na jinsi walivyojilimbikizia vyeo na mali, hata usingeandika ulichoandika. We unakwenda kama ling'ombe tu.
 
Ukawa wamewazidi sana Ccm kimkakati na kampeni za jukwaani

Kampeni Gani Za Jukwaani Unazozungumzia Wewe?Kampeni Za Dak 5?Kampeni Za Visingizio Mic Hazisikiki?Mikakati Hiyo Ipi?Kama Mmeshindwa Kuelewana Hata Kwa Wagombea Udiwani Na Ubunge Majimboni,?huko Ndo Mnakuita Mikakati?Mikakati Ya Mtu Akiondoka Kuhamia Chama Kingine Au Kuachia Ngazi Mnabaki Kumwita Msaliti Badala Ya Kufind Replacement?Mikakati Gani Mliyonayo?labda mkakati bora mpaka sasa mlionao ni kufanikiwa kuzitafuna vizuri pesa za fisadi lowassa!
 
Mkuu wangu na wewe una operate kwa desperation duh!!!!!

10frj1t.jpg

Naona unatoa shootout lol
 
Mi nashindwa kuelewa,, hivi vikao vya magamba kuweka mikakati ya kushinda uchaguzi chini ya mwenyekiti wao, mikakati ndio hii au ni mwehu tu wa mtaani kaibuka na kupost hii kitu. Maana kama ni mkakati uliowekwa na waliokuwa madarakani basi Nchi hii ilikuwa inajiendesha yenyewe. kweli "Hapa kazi tu"
 
Upinzani Tanzania haupo, waliopo ni tamaa tu hamna jipya hapo.
 
UKAWA KUWA NA KIKAO CHA DHARURA

Kufuatia hali kuwa tete ndani ya kambi ya UKAWA, viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wanatarajia kukutana kwa dharura kesho kujadili mwenendo wa umoja wao.

Taarifa za ndani ya UKAWA zinasema Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye yupo nchini Marekani atalazimika kurudi haraka nchini na inaelezwa huenda akaingia usiku huu au mapema kesho kwaajili ya kikao hicho cha dharura ambacho kitaamua hatma ya umoja huo.

Mbali na Mbowe, timu yote ya kampeni za mgombea urais na mgombea mwenyewe pamoja na mgombea mwenza wanatarajia kusitisha kampeni na kurudi Dar es Salaam kwa siku ya kesho hadi watakapopata mwafaka wa masuala yanayobishaniwa ndani ya umoja huo.

Taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana na kupjnga jinsi Chadema wanavyoendesha umoja huo hadi kufikia hatua ya mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na inaelezwa kikao hicho kitatumika kumuomba asijitoe.

CUF wanalalamikia UKAWA kuendeshwa na mtu mmoja ambaye ni Mbowe badala ya kuendeshwa kama taasisi na amekuwa akichukua maamuzi bila kushirikisha wengine.

"UKAWA ni Mbowe na yeye ndo anaendesha mambo anavyotaka kwa maslahi yake na mkwewe mzee Mtei. Huu ni uhuni ambao tulikuwa tunausikia tu ila leo tunajionea baada ya kuingia ndani" alisema kiongozi mmoja wa CUF ambaye alisisitiza kama Mbowe lengo lake lilikuwa ni kuua CUF amefanikiwa ila dhambi hiyo itamtafuna na watahakikisha Chadema haibaki salama

NCCR Mageuzi na CUF siku wakijitambua wataondoka tu, chadema ni mali ya kikundi cha wachache.
 
Tehtehteh babu Duniiiii... Mburahati anafanyaje sasa, anasaga mahindi au... Anyways kama yeye alikuwa Mburahati basi nikutaarifu tu kuwa wenzake nccr mageuzi walikuwa star tv na vilio tele... Tehtehteh mibavicha bana... Hivi bado tu hamjui kuwa mshauzwa?? Poleni sana.
Siwezi kubishana na kilaza , hebu mrudisheni kwanza shule Mgombea wenu kwanza.View attachment 288473
 
Main concept ni strategies hawazijui na Mbowe sio wote anaowaamini kuwapa , na mtaa wa pili ndio hicho kiwaumizacho.
 
kwani ccm wameitisha vikao mara ngapi? mpaka mshangae vikao vya ukawa hiyo ni sehemu ya changa moto
 
Back
Top Bottom