no wonder! mizoga ile unayo mika akumi ijayo mkuu! huna namna bali kuwa mpole tu! maana hizi dua za kuku wala hazisaidii
ungesema tatizo la hilo zoezi ni nini...hili liboreshwe
1. madampo hakuna dar
2. dustbins hakuna dar
3. magari ya kuzoa taka n.k ni kama havipo
amefanya good initiation ila bado anatakiwa kwenda another mile!! inawezekana tukiwa na nia
ni nchi yetu, mji mwetu, wageni wakija tunaaibika wote,
hizo chuki zako za uchaguzi hazina nafasi unajionyesha ulivyodhaifu
watoto wako na mme wako wako nchi hii na mji huu( sorry kama hauko sumbawanga)
issues za Lumumba ( au kuandika neno tu Lumumba) hakukufanyi kuwa mtu muhimu wa mijadala ya kutamanika na kufirika JF
WE NEED YOUR BRAIN..WE NEED TO LEARN FROM YOU, we dont need these shits!
mimi siyo CCM wal CDM...take that,