akuhmm
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 583
- 225
Hv kila wakifanya usafi wananunua fagio mpya?
Hv kila wakifanya usafi wananunua fagio mpya?
Acha uzoba na umburula maendeleo hayaji kwa kufagia taka
Unakoelekea utasema kodi unayolipa itumike kushughulikia usafi wa mwili wako...yaani kukuchambiaIfike mahali kodi tunayolipa itumike kushuhulikia swala la usafi.
Hawa jamaa sijui nani yupo kwenye bongo zao
Du! Naamini ni wana siasa VILAZA dunia nzima kuwahi tokea
Hujitambui weweMsiotaka kujua ukweli kihusu usafi wa jiji mtawalaumu Ukawa lakini mngejua pesa zenu zinavyoliwa mngeshika akili,mwenzenu Makonda ameshaligundua hilo.
Bora vivo kuliko kuishi na mizoga ya lumumba
Duh kwel jf kila mtu anaakili zake sasa ww unaponda usafi au ni hasara kwa taifa kuona ujui ata umuhim wa usafi katka taifa linalopambana na kipindupindu. Maralia nkAcha uzoba na umburula maendeleo hayaji kwa kufagia taka
Zungu, Ndugulile, Mahiga et al walikuwa wapi? Au mlitaka wote waambatane na RC kwa ajili ya Selfie? Ma DC wako wapi? Lumumba hebu punguzeni Upuuzi vichwani mwenu!Kubenea,Mnyika,Mtulia na Mwita walikuwa maeneo gani?
Amani iwe kwenu.
Katika hali ya aibu mameya na madiwani wanaounda vyama vya ukawa jijini Dar Wamegomea kampeni ya usafi.Ikumbukwe serikali iliagiza kuwa na utaratibu wa kufanya usafi angalau mara moja kwa mwezi.
Majibu waliyoyatoa ni kuwa eti,wako "bize na masuala ya maendeleo ya wananchi".Usafi je?
Aibu nyingine ni kuwa, wameshinda kwenye mitandao ya kijamii kukosoa na kutoa unabii kuwa zoezi hili la usafi "lishindwe"..wamekuwa wakitowa picha za kejeli na kudhalilisha.
Ikumbukwe tabia hii ya kususa ni muendelezo wa "msuso" wa uchaguzi,"msuso" uchwara kwenye bunge la bajeti nk.
Ushauri.
Tabia hizi za kususia maendeleo zinawaweka katika hatari ya kuchokwa na baada ya miaka mitano mtapewa adhabu kali na wananchi.Msiruhusu ujinga kutamalaki miongoni mwenu.
Wanafiki kina nani sasa kama sio nyie wapuuzi? Kwenye Mambo yanayodetermine Mustakabali wa Taifa mnajificha kwa kuwa ninyi ni Wachafu,huku kwenye maigizo ndo mnapataka! Ccm hamjitambui,mnajitoa Ufahamu!Kamera kwenye Usafi hapana ila bungeni ndio....!!
Kweli kizazi cha wanafiki
Hii ndio hoja nzuri badala ya watu kuleta maneno ya kejeli na matusi. Inabidi watanzania tujifunza kutoa hoja nzuri na zenye maana kuliko matusi na kijeli.Ukweli ni kwamba watumishi serikalini ndio waliochukua tenda za usafi hapa jijini ikiwa pamoja na kumiliki kampuni za kuzoa takataka na hivyo hulipwa fedha nyingi sasa inakuwaje wananchi watumike kufanya usafi?je sio kwamba hizo kampuni zinalipwa bure bila kufanya hiyo kazi?
Picha ya kwanza ni ya siku ya uhuru, niliiona mahali ktk mitandao.
Ewe mola, nakuomba umpatie kijana huyu akili, amina.Acha uzoba na umburula maendeleo hayaji kwa kufagia taka
Amani iwe kwenu.
Katika hali ya aibu mameya na madiwani wanaounda vyama vya ukawa jijini Dar Wamegomea kampeni ya usafi.Ikumbukwe serikali iliagiza kuwa na utaratibu wa kufanya usafi angalau mara moja kwa mwezi.
Majibu waliyoyatoa ni kuwa eti,wako "bize na masuala ya maendeleo ya wananchi".Usafi je?
Aibu nyingine ni kuwa, wameshinda kwenye mitandao ya kijamii kukosoa na kutoa unabii kuwa zoezi hili la usafi "lishindwe"..wamekuwa wakitowa picha za kejeli na kudhalilisha.
Ikumbukwe tabia hii ya kususa ni muendelezo wa "msuso" wa uchaguzi,"msuso" uchwara kwenye bunge la bajeti nk.
Ushauri.
Tabia hizi za kususia maendeleo zinawaweka katika hatari ya kuchokwa na baada ya miaka mitano mtapewa adhabu kali na wananchi.Msiruhusu ujinga kutamalaki miongoni mwenu.
Nyambaaff sana! Umerogwa wee bavicha, hivi unategemea uje usafishiwe nyumba yako na mazingira ya maeneo unayoishi? Nani wa kukufanyia hivyo?? Usiwe mjinga kiasi hicho! Hao uliowataja hufanya usafi maeneo ya serikali, barabara na open space tu. Usichanganye kukusanya taka na kukufanyia usafi.Ukweli ni kwamba watumishi serikalini ndio waliochukua tenda za usafi hapa jijini ikiwa pamoja na kumiliki kampuni za kuzoa takataka na hivyo hulipwa fedha nyingi sasa inakuwaje wananchi watumike kufanya usafi?je sio kwamba hizo kampuni zinalipwa bure bila kufanya hiyo kazi?
Hawa jamaa sijui nani yupo kwenye bongo zao
Du! Naamini ni wana siasa VILAZA dunia nzima kuwahi tokea