Hizi habari sizan Kama zina ukweli wowote
lete za ukweliHizi habari sizan Kama zina ukweli wowote
sasa maccm wagombea WA chama kimoja mnatoana macho kura za maoni ikifikia uchaguzi Mkuu si mtawatoa roho wagombea wa vyama vingine kama mangula alivyotaka kumtoa roho Slaa hivi karibuni?Acha matusi Bavicha,
Kama mmeshanza kushindana kwenye majimbo 28 Je kwenye Urais na Ruzuku? Huko Si mtatoana roho kabisa?
mapendekezo ya urais ni simpo kuliko UbungeKwenye urais ndio kitendawili
Mnapima upepo wa kisiasa?
Hizi ni spinning za kitoto sana.
Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), wamegawana jumla ya majimbo 211 huku wakishindwa kuelewana katika kugawana majimbo mengine 28.
Pia,jimbo la Zitto limebaki kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
My take:
This is a significant breakthrough in achieving political changes in our country.
=======================
Chanzo:Mtanzania
naanza pata shida juu ya umoja wa UKAWA
Mwisho wake wataanza kugawanyika yangu macho Sasa majimbo 28 Je kwenye URAIS? Huko ndiko kutakuwa na Vita kubwa na mwishowe watasema CCM
Kwani kutofautiana cinijambo la kawaidaa Ila mwisho wa siku nguvu ya hoja itazingatiwa
Mnapima upepo wa kisiasa?
Hizi ni spinning za kitoto sana.
Wameachiana hayo yote mia mbili nadhan hya ishirin na nane haita shindikana hii ndo tulikuwa tunaihitaji hakika Kwa mpangilio huo naona wabunge waupinzan150+ kwe hili bunge lijalo apa ccm Wajiandae tuu kisaikolojia