stanlthecreator
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 1,947
- 648
NLD wapi?ndo ubaguzi tunaosema huo
Hata majimbo 50 hawapati
Good B-)
mkuu kwa hiyo umezianini hizi habari 100%
View attachment 268358Mimi nawapongeza UKAWA ni hatua nzuri, wanakwenda sawa tunaweza kufikia kwenye demokrasia ya kweli.
Nendeni na ILALA muone mnavyo pigwa asubh.....chadema wajanja sana majimbo magumu wana yaacha kwa wenzao,,,,,eti kuzingatia makao makuu,,,,sasa chadema ipo UKONGA? Nyoooooooooo.....sisi cuf hatukubali na tumeona meseji zenu zinazo sema Cuf ni CCM.
Hata majimbo 50 hawapati
Bwana Mtazamo, Hawa wanaogawa majimbo wanaangalia kukubarika kwa chama husika katika maeneo hayo.katika majimbo ambayo ni magumu lazima wapeleke mgombea pale ,kwa sababu Chadema wana majimbo mengi hapa dar wanakokubarika inabidi majimbo yaliyobaki wapewe wengine.Pia kumbuka hii ni ukawa kampeni zote zitakwenda kwa vyama vyote kwa pamoja, kwa hiyo wanatarajia kila mgombea kupata kura na suport kutoka vyama vyote.Kumbuka huu ni uchaguzi ukicheza vizuri karata unashinda. usihofu ndugu.Achana na hizo msg, hao ni watu wanaotaka UKAWA isambaratike, usisikilize udaku.
Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), wamegawana jumla ya majimbo 211 huku wakishindwa kuelewana katika kugawana majimbo mengine 28.
Pia,jimbo la Zitto limebaki kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
My take:
This is a significant breakthrough in achieving political changes in our country.
=======================
Chanzo:Mtanzania