UKAWA wagawana majimbo 211

UKAWA wagawana majimbo 211

Babati vijijini tatizo lipo wapi kati ya chadema na nccr-mageuzi?
Laurence Tara wa nccr mageuzi alikuwa na nguvu na ndo alikuwa tishio kwa ccm,sasa mbona kashahamia chadema nccr haina mtu kule,maana waliyekuwa wanamtegemea kahamia chadema mwaka juzi kama sikosei
 
Daah,Kweli ukikubali kuungana na mwenzio lazima ukubali kupoteza...!!!!

Sioni ni namna gani jimbo la Mwanga liende Nccr Wakati Chadema wako vizuri pale kupitia harakati zinazofanywa kila siku na Henry Kilewo anyway hii ndiyo Demokrasia yenyewe... Aaah Cuf wameachiwa Segerea na Nccr Ilala..?? Nadhani Pale Ilala ilipaswa kuachiwa Cuf au Chadema (Hii ni kutokana na Ugumu wa jimbo husika na umaarufu wa chama achia mbali mgombea, Kumbuka pia ofisi za Cuf ziko hapo Ilala Buguruni Malapa)

Hata hivyo sina Imani na chanzo cha habari, nasubiri taarifa rasmi.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Mnapima upepo wa kisiasa?

Hizi ni spinning za kitoto sana.

Hhaahahhahahah...endeleeni kunyanyua matofali na kubeba zege kwa maigizo

Watu wanataka mazingira bora ya kujiendeleza kiuchumi nyie mnawapelekea hadaa na kujifanya eti mnabeba zege

UNAFIKI ni tabia mbaya sana.

October ndio utajua kama hizi ni spining au spamming
 
Mnapima upepo wa kisiasa?

Hizi ni spinning za kitoto sana.

Nasikia lile jambazi la escrow kwa kivuli cha uaskofu nalo limefungua mdomo kutetea katiba pendekezwa? Kweli vituko havitakaa viishe nchi hii. Kila mwovu anatetea katiba ya chenge. Kilaini funga domo lako huaminiki tena! Kaendeleze miradi yako na Tusiime yako kule Tabata.
 
Hhaahahhahahah...endeleeni kunyanyua matofali na kubeba zege kwa maigizo

Watu wanataka mazingira bora ya kujiendeleza kiuchumi nyie mnawapelekea hadaa na kujifanya eti mnabeba zege

UNAFIKI ni tabia mbaya sana.

October ndio utajua kama hizi ni spining au spamming
ndugu;
Hata wewe endelea kuota ndoto za mchana kama bundi.

Ungekuwa unatingisha fikra zako ungejiuliza kwanza kwa nini hii habari imekuwa nusu.

Ungekuwa unatingisha fikra ungejiuliza kwanza, kwa nini kikundi cha mtaa wa Togo na Ufipa hakigusi hii thread.

Hakuna kitu kibaya kama kuwa blind follower!
 
Mnapima upepo wa kisiasa?

Hizi ni spinning za kitoto sana.

Mkuu tupimie kwa nani huo upepo wa kisiasa? Hivi UKAWA na Ccm yupi anapawa kuhangaika na vipimo vya upepo wa kisiasa..??

Hebu ona namna mnavyohangaika mara Kadi za kupigia kura za mwaka 2010, hazitatumika kwenye upigaji kura ya maoni.. Halafu tena katikati ya hofu mnatangaza eti kadi hizo zitatumika (Naam ni baada ya tamko la Maaskofu) Mara mnadai kuenda Kenya na Nigeria kuazima Mashine za kuandikishia wapiga kura... hivi hamchekeshi baraza nyie?? Kama mlijua kuwa Mashine mlizonazo hazitoshi mlidaije basi kuwa kura ya maoni Katiba ya wachache itafanyika April 30??

Hapa nani anaye hangaika na Vipimo vya upepo wa kisiasa??

Shusha Pressure kaka, Ngoma ndo hiyo ishakauka tayari kwa kuchezwa, Mnalia nini? Anyway kilio chenu ni furaha yetu..!!!

Karibu uwanjani.

BACK TANGANYIKA
 
ndugu;
Hata wewe endelea kuota ndoto za mchana kama bundi.

Ungekuwa unatingisha fikra zako ungejiuliza kwanza kwa nini hii habari imekuwa nusu.

Ungekuwa unatingisha fikra ungejiuliza kwanza, kwa nini kikundi cha mtaa wa Togo na Ufipa hakigusi hii thread.

Hakuna kitu kibaya kama kuwa blind follower!

Mkuu wewe kweli akili yako ni shake well before use
Kikundi hicho ni kipi? umekisajili wewe?
Unajua ukizoea kuishi kwa UNAFIKI usidhani watu wote tuko hivyo.
You are better at kuwahadaa wananchi kwa kubeba matofali ilihali ni serikali yenu ndiyo chanzo cha maisha duni ya Watanzania.
Kwa sababu wewe uko na akili kwenye magoti huwezi kuelewa kuwa CCM imekataliwa....Tatizo ni voters turnover
 
Mkuu tupimie kwa nani huo upepo wa kisiasa? Hivi UKAWA na Ccm yupi anapawa kuhangaika na vipimo vya upepo wa kisiasa..??

Hebu ona namna mnavyohangaika mara Kadi za kupigia kura za mwaka 2010, hazitatumika kwenye upigaji kura ya maoni.. Halafu tena katikati ya hofu mnatangaza eti kadi hizo zitatumika (Naam ni baada ya tamko la Maaskofu) Mara mnadai kuenda Kenya na Nigeria kuazima Mashine za kuandikishia wapiga kura... hivi hamchekeshi baraza nyie?? Kama mlijua kuwa Mashine mlizonazo hazitoshi mlidaije basi kuwa kura ya maoni Katiba ya wachache itafanyika April 30??

Hapa nani anaye hangaika na Vipimo vya upepo wa kisiasa??

Shusha Pressure kaka, Ngoma ndo hiyo ishakauka tayari kwa kuchezwa, Mnalia nini? Anyway kilio chenu ni furaha yetu..!!!

Karibu uwanjani.

BACK TANGANYIKA

Asante mkuu...Hili Robota la Lumumba MwanaDiwani halijui hali halisi ilivyo

Andahani kunyanyua matofali na kuwahadaa wananchi ndio suluhisho.

Tanzania ya Sasa sio ya Mwaka 1980
 
Last edited by a moderator:
Nasikia lile jambazi la escrow kwa kivuli cha uaskofu nalo limefungua mdomo kutetea katiba pendekezwa? Kweli vituko havitakaa viishe nchi hii. Kila mwovu anatetea katiba ya chenge. Kilaini funga domo lako huaminiki tena! Kaendeleze miradi yako na Tusiime yako kule Tabata.

Mkuu hebu ninong'oneze hapo, Ile Tusiime UAE pale Tabata ni ya huyu Bwana??

BACK TANGANYIKA
 
Mkuu wewe kweli akili yako ni shake well before use
Kikundi hicho ni kipi? umekisajili wewe?
Unajua ukizoea kuishi kwa UNAFIKI usidhani watu wote tuko hivyo.
You are better at kuwahadaa wananchi kwa kubeba matofali ilihali ni serikali yenu ndiyo chanzo cha maisha duni ya Watanzania.
Kwa sababu wewe uko na akili kwenye magoti huwezi kuelewa kuwa CCM imekataliwa....Tatizo ni voters turnover

Mkuu umeua (kwenye red) Hahahahahhh..

Anyway hiyi ni kila mwanaccm, Sometimes unavyojadiriana na hawa watu unajiuliza hivi hawa ni binadamu kama sisi na walizaliwa kwa njia ya kawaida kama ilivyokwetu..? Au walidondoka kama mvua ya Mawe? Kwakweli hupati jibu??

BACK TANGANYIKA
 
Babati vijijini tatizo lipo wapi kati ya chadema na nccr-mageuzi?
Laurence Tara wa nccr mageuzi alikuwa na nguvu na ndo alikuwa tishio kwa ccm,sasa mbona kashahamia chadema nccr haina mtu kule,maana waliyekuwa wanamtegemea kahamia chadema mwaka juzi kama sikosei

Una uhakika gani kwamba alipigiwa mtu na si Chama. Ebu tuwache utaratibu ufanye kazi yake.
 
Back
Top Bottom