UKAWA waanza kuchangisha fedha baada ya ukata Mkali

UKAWA waanza kuchangisha fedha baada ya ukata Mkali

Hamjajipanga vizuri kitengo cha propaganda, kupost thread zaidi ya kumi haimaanishi ndo utakuwa unaweza propaganda saaaaana mpaka uwafurahishe mabosi wako, ila kinachotakiwa ni contents tuu ili uweze kuwanasa wale wasio na vyama, ingependeza kuhubiri Sera na ilani ya chama. Bado namkumbuka sana Tambwe Hiza, Mkuu wa Polisi Mahita enzi za visu vya CUF, hao ndo walikuwa wanajua maana ya propaganda haswaaa. Sasa nyie mnashindana thread na post nyingi as if mnalipwa kutokana na thread mnazoanzisha kukiponda chama Fulani.


Amkeni, Wapiga kura wengi hawana chama, wanataka Sera mbadala.
11029943_800725273378799_3130385295430231536_n.png
 
CCM wamejipanga na sio kama UKAWA wanaofuta mkumbo wa EL. Hivi mmesha weka mkakati wa Kampeni au bado mnakula keki ya birthday.
Ccm mnatumia pesa za kuuza meno ya tembo,msamaha wa kodi kwa wahindi Mohammed Enterprises,kuwapa tenda za kifisadi wahindi haswa Manji,wizi Escrow
 
Huwa hamuwezi kusimama imara kwa kile mnacho ongelea? Mmepiga kelele Lowassa ni fisadi Lowassa fisadi sasa makoo yame wakauka mnakuja na habari ya UKAWA hawana fedha. Nilitegemea kama Lowassa ni fisadi Basi fedha yote ya Tanzania ipo huko. Hamchoki tu ? Mna roho ngumu sana kwa kweli.
 
Sidhani kama nahitaji kutumia nguvu nyingi kukufahamisha, akili ni akili
 
Huwa hamuwezi kusimama imara kwa kile mnacho ongelea? Mmepiga kelele Lowassa ni fisadi Lowassa fisadi sasa makoo yame wakauka mnakuja na habari ya UKAWA hawana fedha. Nilitegemea kama Lowassa ni fisadi Basi fedha yote ya Tanzania ipo huko. Hamchoki tu ? Mna roho ngumu sana kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
11949409_1622147358044308_298384558978835413_n.jpg


Hii ndiyo kazi ya CHADEMA fedha za ruzuku zote zimeliwa na wanazidi kuwakamua wanachama wao kwa kuwaaminisha kuwa chama masikini wakati ruzuku tuu wanayopokea miaka yote hiyo hata kiwanja wala ofisi waliyojenga hawana .

Ni ngumu sana kukupeni nchi wakati fedha za ruzuku tuu hamjazitumia kimaendeleo, mwenyekiti anajikopesha na hakuna anayehoji chochote.


UKAWA jipangeni kwanza tuonyesheni uwezo wenu wa kuwa na nidhamu katika matumizi ya ruzuku kwanza ndipo sasa tunaweza sema mnaweza kuliongoza Taifa hili

hata hivyo UKAWA imefika hapo ilipo kwa sababu ya michango kutoka kwa malofa na wapumbavu ambao walau wamekuwa wakichangia kidogo walichonacho kwa ajili ya kuchangia harakati za kuleta mabadiliko nchini. Hata hivyo kuchangisha fedha kwa wananchi sio dhambi maana inajenga dhana ya umiliki wa mabadiliko kwa wananchi kwani watakuwa wamefanikisha wao.
 
11949409_1622147358044308_298384558978835413_n.jpg


Hii ndiyo kazi ya CHADEMA fedha za ruzuku zote zimeliwa na wanazidi kuwakamua wanachama wao kwa kuwaaminisha kuwa chama masikini wakati ruzuku tuu wanayopokea miaka yote hiyo hata kiwanja wala ofisi waliyojenga hawana .

Ni ngumu sana kukupeni nchi wakati fedha za ruzuku tuu hamjazitumia kimaendeleo, mwenyekiti anajikopesha na hakuna anayehoji chochote.


UKAWA jipangeni kwanza tuonyesheni uwezo wenu wa kuwa na nidhamu katika matumizi ya ruzuku kwanza ndipo sasa tunaweza sema mnaweza kuliongoza Taifa hili

CCM hamjajipanga aisee propaganda zenu zinafeli sijui kwa sababu ya Umbumbumbu
 
Taarifa za chini chini ni kwamba Magufuli mwenyewe ana mpango wa kumpigia kura Lowassa, sasa mnaosema mtampigia kura Magufuli mnaonekana vituko kwa kweli.
 
11949409_1622147358044308_298384558978835413_n.jpg


Hii ndiyo kazi ya CHADEMA fedha za ruzuku zote zimeliwa na wanazidi kuwakamua wanachama wao kwa kuwaaminisha kuwa chama masikini wakati ruzuku tuu wanayopokea miaka yote hiyo hata kiwanja wala ofisi waliyojenga hawana .

Ni ngumu sana kukupeni nchi wakati fedha za ruzuku tuu hamjazitumia kimaendeleo, mwenyekiti anajikopesha na hakuna anayehoji chochote.


UKAWA jipangeni kwanza tuonyesheni uwezo wenu wa kuwa na nidhamu katika matumizi ya ruzuku kwanza ndipo sasa tunaweza sema mnaweza kuliongoza Taifa hili
Hawa jamaa wakitoa vijihela vyao, viroba watanunua na nini sasa???? Siku hiyo viroba vilikosa soko.
 

Ikifika saa sita mchana siku ya 25/10/2015 hiyo takataka itakuwa imenyofolewa hapo, maruhani yatakuwa yamemwacha Jakaya na atakuwa haamini kinachoendelea. Magufuli atabaki ameduwaa hana hamu ya kuendelea kuishi....Huku sisi wanaume tunaruka ruka kwa furaha na Raha. Lowassa....mabadiliko!!!
 
It makes sense...EPA, ESCROW, MEREMETA, Ivory, Twiga,na chenji za rada zip[o wapi ?
Haya dili za sembe za akina Miraji na wazee wa matezi...? Kyama kina fweza nyingi lkn mwisho wa kuuza meno ya tembo, na twiga wetu unakaribia...
 
Huu ----- ni kujaza sever tu, mathead mengii lakini ni ----- tu..ccm inachosha sana..iondoke tu
 
Pamoja na kwamba umekaa kishabiki lakini kuna ukweli katika ulichokisema. Chadema mpaka sasa ina hali mbaya kifedha maana dili zote amepiga Mbowe!
 
Back
Top Bottom