UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

UKAWA VS CCM KATIKA URAIS

  • UKAWA

    Votes: 757 85.2%
  • CCM

    Votes: 118 13.3%
  • NONE OF THE ABOVE

    Votes: 13 1.5%

  • Total voters
    888
Status
Not open for further replies.
Habari wakuu..
Natumai mu wazima..uzi huu ni maalum kwa hawa washabiki wa ukawa...unajua tatizo kubwa ukawa ina mashabiki vijana hasa wa mitaani na pia wanaoshinda mitandaoni....hembu ongeeni fact yani kutwa kucha ni kumsifia lowassa lakini ukiulizwa lipi zuri alilofanya huna lakujibu ila kuongea tuuh bwana mmebarikiwa...sikatai lowassa ni kiongozi mzuri tuu sana anafaa sana kuongoza lakini hafit hata kidogo kuwa rais wa nchi hii...Ana uchu wa madaraka uliopitiliza....hembu niambieni sababu kubwa ilomfanya lowassa kuhama from ccm to chadema...kweli kukatwa tuuh ndo kumsababishe akisaliti chama kilichomlea?? kwani ikulu kuna nn kinachokimbiliwa kiasi hcho mpaka watu kutaka kutoana roho??? Kwa mara nyingine tena em mfikirieni huyu mgombea wenu na sera zake....[/QUOTE

Kk uwezo wako wa kufkl unashuka kla kukicha,
 
Bavicha pigeni kura hapa. Ndiyo ballot box pekee itakayowapa ushindi nadharia maana wengi wenu mmpo humu. Baadae sisi wenye akili tutapiga zetu kwa masanduku halali
 
Eti hoo! Lowasa mwizi, ni uzandiki mtupu. Kama angekua mwizi na una ushahidi, unge mpeleka mahakamani. Mbona umekua kimia? Tuhuma sio kosa la jinai. Kihisiwa kutenda kosa, sio kutenda kosa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom