Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,900
Katika hali ya kushangaza Jumuia ya UKAWA imeundwa na watu walioferi katika kila kitu cha mafanikio waliwahi kufanya! Ukitoa maalimu Seif ambaye mpaka sasa rekodi yake bado haijavunjwa pale University of Dar es salaam na amefanikisha muuafaka Zanzibar na atakumbukwa kwa mafanikio!
1. Mh. Mbowe,Historia yake ya Elimu kitendawili,mwenye uchu wa madaraka kupelekea kuundwa kwa kambi ya upinzani bila ya wabunge wengine wa upinzani, kumvuluga chama kwa fukuza fukuza bila mpango.
2.mzee wetu Mwenyekiti wa CUF mshauri wa maswala ya uchumi enzi za Mwinyi prof.lipumba hope mnajua alichokifanya na kule Uganda hali pia ilikuwa tete kupeleka sarafu ya Uganda kuporomoka. Kugombea urais mara nyingi bila kukubalika na bado yumo tu na hisi 2015 atagombea tena.
3.mbatia hahaha!! huyu anamengi ila moja ni huyu jamaa alishindwa Ubunge akabwagwa na Halima mdee!
Huu ndio ukawa achilia mbali wajumbe wengine Tanzania ipo kazi kweli tusali sana CCM itawale mpaka hiki kizazi kiishe upinzani uje na watu Wapya tuwape nchi!
3
1. Mh. Mbowe,Historia yake ya Elimu kitendawili,mwenye uchu wa madaraka kupelekea kuundwa kwa kambi ya upinzani bila ya wabunge wengine wa upinzani, kumvuluga chama kwa fukuza fukuza bila mpango.
2.mzee wetu Mwenyekiti wa CUF mshauri wa maswala ya uchumi enzi za Mwinyi prof.lipumba hope mnajua alichokifanya na kule Uganda hali pia ilikuwa tete kupeleka sarafu ya Uganda kuporomoka. Kugombea urais mara nyingi bila kukubalika na bado yumo tu na hisi 2015 atagombea tena.
3.mbatia hahaha!! huyu anamengi ila moja ni huyu jamaa alishindwa Ubunge akabwagwa na Halima mdee!
Huu ndio ukawa achilia mbali wajumbe wengine Tanzania ipo kazi kweli tusali sana CCM itawale mpaka hiki kizazi kiishe upinzani uje na watu Wapya tuwape nchi!
3