Kwa Idd |Amin, Bokasa, Nguema, Mobutu, Kagame, Museveni, Nkurunzinza lazima ujipange.Vuguvugu la katiba lililounda UKAWA limeishia wapi? Kumbe lilikuwa dili la kwenda mjengoni na Ikulu tu. Hamna lolote kabisa! msije kwetu tena kutugeuza mapunda yenu ya kuwabeba kwenda mjengoni.
Tunakuhurumia bure. Mungu akurehemu kwa kweli.Vuguvugu la katiba lililounda UKAWA limeishia wapi? Kumbe lilikuwa dili la kwenda mjengoni na Ikulu tu. Hamna lolote kabisa! msije kwetu tena kutugeuza mapunda yenu ya kuwabeba kwenda mjengoni.
Ni heri ukose nidhamu kwa kudai katiba mpya bungeni kuliko kufikishwa kwenye kamati ya maadili kwa matusi ya kipumbavu ya kumtetea Wenje na Masha kwenda EALA, hii sio agenda kwa waliokuchagua kwenda bungeni, wacheni ujinga wenu. Wananchi watafaidikaje kwa wewe kufungiwa vikao 8 vya bunge kwa matusi ya kutetea watu waende EALA?Tunakuhurumia bure. Mungu akurehemu kwa kweli.
Unatia huruma sana.Ni heri ukose nidhamu kwa kudai katiba mpya bungeni kuliko kufikishwa kwenye kamati ya maadili kwa matusi ya kipumbavu ya kumtetea Wenje na Masha kwenda EALA, hii sio agenda kwa waliokuchagua kwenda bungeni, wacheni ujinga wenu. Wananchi watafaidikaje kwa wewe kufungiwa vikao 8 vya bunge kwa matusi ya kutetea watu waende EALA?