UKAWA sasa IKAWA?

UKAWA sasa IKAWA?

wewe fuatilia vyama vya marekani huko maana sijui kama unachangia kodi(PAYE,VAT, mapato,etc) hapa Tanzania. Sifa zimepanda kichwani unaona mawazo yako tuu ndio sahihi...angalau basi ungekuwa unapambania ukiwa hapa Tanzania lakini unapambana kwa kutumia keyboard ukiwa ndani ya kiyoyozi kwenye nchi ya dunia ya kwanza!
 
MMM huwezi amini kama ni wewe unatoa analysis hii nakuiponda UKAWA badala ya kupambana na changamoto zinazojitokeza ndani ya UKAWA.

Mkuu MMM wewe na Dr. Slaa kaeni pembeni sis tutafanya maamuzi wenyewe, na hakika tumeamua MABADILIKO!!!!!!!!!!!!!

Hii ya Mzee Mwanakijiji sio analysis (uchambuzi); ni simulizi (narrative). Uchambuzi ni lazima utawaliwe na hoja zenye mantiki na hatimae kufikia hitimisho lenye mantiki (logical arguments and conclusion). Ni bahati mbaya sana MM ana tatizo linaloitwa 'cognitive bias' linalomfanya asiwe tofauti na akina Nape, Kibajaji na yule mwanamke Mzanzibari wa Bunge Maalum la Katiba aliyesema hawawezi kutoa nchi kwa njia ya karatasi.
 
Wafuasi wa hili dubwasha wangekuwa na nia njema kwanza wangejiuliza Lowassa kama chanzo cha hii migogoro yote amefanya nini kujaribu kuizua au kuitatua migogoro hii? Baada ya kujiuliza hilo na kutafakari watabaini kuwa Lowassa hana mpango wowote wa kuimarisha upinzani, yeye anaendeshwa na ego yake tu.
 
"Tunaposhuhudia mamia ya wanachama wa CCM wanapoanza kukikimbia chama hicho kimsingi tunashuhudia kuharakishwa kwa kutimilika kwa unabii huo. Wanachama hawa wanakubali alichosema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa “CCM si mama yangu”.
By Mzee Mwanakijiji
 
UKAWA.jpg


Dubwasha hili linaundwa na vyama vinne; vitatu kati ya hivyo ni vikubwa na vina historia ndefu tu ya upinzani Tanzania. Nimeliita "dubwasha" siyo kama kejeli bali ni kitu ambacho huwezi kukielezea kikaeleweka. SIyo chama, siyo muungano, siyo umoja ni ushirikiano tu fulani hivi ambao unataka kutuaminisha kuwa unataka kuja kuongoza Taifa. Kwa muda mrefu wapo watu ambao wameushabikia sana kiasi kwamba wanafikiria UKAWA ni kama chama cha siasa fulani hivi au kina mgombea au wagombea katika Uchaguzi. Kumbe UKAWA siyo chama cha siasa na hakina wala hakiwezi kuwa na Ilani, Sera, wagombea n.k.

Lakini ambacho kimethibitika mapema sasa na wengine tumeonya tangu kuundwa kwa hili dubwasha ni kuwa UKAWA unajiandaa kutuletea matatizo; tayari mengine tumeyaona na mengine yameashiriwa tu. Baada ya uongozi wa NCCR-Mageuzi nao kuja na kulalamikia dubwasha hili nimejikuta nikisema kuwa hili sasa siyo tena UKAWA bali ni IKAWA

UKAWA sasa imekuwa ni IKAWA! Vyama vitatu vinavyounda ushirikiano huu wenye mashaka tayari vimekuwa na matatizo na viongozi wao wajuu kisa UKAWA. Imekuwa hivyo kwa CHADEMA - na kuondoka kwa Dr. Slaa - Katibu Mkuu, CUF - kwa Prof. Lipumba (Mwenyekiti) na sasa NCCR-Mageuzi na malalamiko ya Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu kuhusiana na dubwasha hili.

Kimsingi sasa UKAWA imekuwa IKAWA kwani itakuwa ni shida nyingine ambayo hata hatujaifikiria sana; kwamba tayari vyama hivi vina migogoro ya ndani kuhusiana na ushiriki wao kwenye UKAWA na wengine kwa maamuzi ya kusimamisha wagombea mbalimbali. Ngoma yote itakuwa chungu pale baada ya Uchaguzi vyovyote itakavyokuwa - wakishinda CHADEMA na wagombea wake au wakishindwa kutakuwa na matokeo kwenye vyama hivi vikuu.

Fikiria kwa mbali tu ije itokee wajaribu kuunda Baraza la Mawaziri...!!!

Wanachama wa vyama hivi huko waliko nina uhakika wanaangalia kwa makini yanayoendelea kwenye vyama vyao; ukimya wao sidhani kama ni woga...

Na Itakuwa IKAWA kweli kweli...

NLD peke yao inaonekana ndio wamenufaika zaidi na dubwasha hili!

MMM

Mkuu, leo nilipata nafasi ya kuongea na wafuasi wa IKAWA, nilijikuta nacheka sana maana kitu walichokuwa wanakikazania kukitetea tafsiri yake ni kuwa hakuna UMOJA kati yao, yaani ni kama muungano fulani wa wajanja kuwaingiza mkenge wenzao.
 
"Tunaposhuhudia mamia ya wanachama wa CCM wanapoanza kukikimbia chama hicho kimsingi tunashuhudia kuharakishwa kwa kutimilika kwa unabii huo. Wanachama hawa wanakubali alichosema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa "CCM si mama yangu".
By Mzee Mwanakijiji

mkuu nadhani kuna kitu cha msingi hukielewi, CCM kukimbiwa tu na wanachama wake hakutoshi bali "aina ya wanachama wanaokimbia" ndo cha msingi, matahalani mtu kama Chenge kukimbilia Chadema, hapo kuna substance???
 
Mwanakijiji toka amepata ajira gazeti la UHURU na MZALENDO haeleweki anachokiandika... Roho inamuuma baada ya kuona EHM mwenzie amekosa Urais na sasa Mfumo mzima unang'olewa ... Billion 150 walizotenga CCM za kudhoofisha Upinzani zinayeyuka bila matokeo chanya...Mama na team yake wamevuta Mpunga bila kuathiri ari na kasi za MALOFA kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania ...

Kumbe! Basi bila shaka he doubles as a CCM's PAID INTERNET TROLL. Tumpuuze!
 
Mwanakijiji is a Tanzanian and he has every right to talk about the future of his country. Why do u believe that any presidential aspirant if he wins he will be the president for only those who voted for him n thus those r the only ones who shall benefit .

Kwa hiyo pilipili iliyo shambani yatuwasha watanzania wote.

Mkija na majibu ya Escrow Stanbic, EPA namengineyo Labda tunaweza japo kutathmini.
 
UKAWA.jpg


Dubwasha hili linaundwa na vyama vinne; vitatu kati ya hivyo ni vikubwa na vina historia ndefu tu ya upinzani Tanzania. Nimeliita "dubwasha" siyo kama kejeli bali ni kitu ambacho huwezi kukielezea kikaeleweka. SIyo chama, siyo muungano, siyo umoja ni ushirikiano tu fulani hivi ambao unataka kutuaminisha kuwa unataka kuja kuongoza Taifa. Kwa muda mrefu wapo watu ambao wameushabikia sana kiasi kwamba wanafikiria UKAWA ni kama chama cha siasa fulani hivi au kina mgombea au wagombea katika Uchaguzi. Kumbe UKAWA siyo chama cha siasa na hakina wala hakiwezi kuwa na Ilani, Sera, wagombea n.k.

Lakini ambacho kimethibitika mapema sasa na wengine tumeonya tangu kuundwa kwa hili dubwasha ni kuwa UKAWA unajiandaa kutuletea matatizo; tayari mengine tumeyaona na mengine yameashiriwa tu. Baada ya uongozi wa NCCR-Mageuzi nao kuja na kulalamikia dubwasha hili nimejikuta nikisema kuwa hili sasa siyo tena UKAWA bali ni IKAWA

UKAWA sasa imekuwa ni IKAWA! Vyama vitatu vinavyounda ushirikiano huu wenye mashaka tayari vimekuwa na matatizo na viongozi wao wajuu kisa UKAWA. Imekuwa hivyo kwa CHADEMA - na kuondoka kwa Dr. Slaa - Katibu Mkuu, CUF - kwa Prof. Lipumba (Mwenyekiti) na sasa NCCR-Mageuzi na malalamiko ya Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu kuhusiana na dubwasha hili.

Kimsingi sasa UKAWA imekuwa IKAWA kwani itakuwa ni shida nyingine ambayo hata hatujaifikiria sana; kwamba tayari vyama hivi vina migogoro ya ndani kuhusiana na ushiriki wao kwenye UKAWA na wengine kwa maamuzi ya kusimamisha wagombea mbalimbali. Ngoma yote itakuwa chungu pale baada ya Uchaguzi vyovyote itakavyokuwa - wakishinda CHADEMA na wagombea wake au wakishindwa kutakuwa na matokeo kwenye vyama hivi vikuu.

Fikiria kwa mbali tu ije itokee wajaribu kuunda Baraza la Mawaziri...!!!

Wanachama wa vyama hivi huko waliko nina uhakika wanaangalia kwa makini yanayoendelea kwenye vyama vyao; ukimya wao sidhani kama ni woga...

Na Itakuwa IKAWA kweli kweli...

NLD peke yao inaonekana ndio wamenufaika zaidi na dubwasha hili!

MMM


ndumila kuwili ukiendelea kugeukageuka nyuma mwishowe utageuka kuwa jiwe la chumvi........
 
Mchawi wa ukawa ni pesa sasa ni dhahiri wanachopigania sasa ni kupunguza tofauti ya kushindwa
 
UKAWA.jpg


Dubwasha hili linaundwa na vyama vinne; vitatu kati ya hivyo ni vikubwa na vina historia ndefu tu ya upinzani Tanzania. Nimeliita "dubwasha" siyo kama kejeli bali ni kitu ambacho huwezi kukielezea kikaeleweka. SIyo chama, siyo muungano, siyo umoja ni ushirikiano tu fulani hivi ambao unataka kutuaminisha kuwa unataka kuja kuongoza Taifa. Kwa muda mrefu wapo watu ambao wameushabikia sana kiasi kwamba wanafikiria UKAWA ni kama chama cha siasa fulani hivi au kina mgombea au wagombea katika Uchaguzi. Kumbe UKAWA siyo chama cha siasa na hakina wala hakiwezi kuwa na Ilani, Sera, wagombea n.k.

Lakini ambacho kimethibitika mapema sasa na wengine tumeonya tangu kuundwa kwa hili dubwasha ni kuwa UKAWA unajiandaa kutuletea matatizo; tayari mengine tumeyaona na mengine yameashiriwa tu. Baada ya uongozi wa NCCR-Mageuzi nao kuja na kulalamikia dubwasha hili nimejikuta nikisema kuwa hili sasa siyo tena UKAWA bali ni IKAWA

UKAWA sasa imekuwa ni IKAWA! Vyama vitatu vinavyounda ushirikiano huu wenye mashaka tayari vimekuwa na matatizo na viongozi wao wajuu kisa UKAWA. Imekuwa hivyo kwa CHADEMA - na kuondoka kwa Dr. Slaa - Katibu Mkuu, CUF - kwa Prof. Lipumba (Mwenyekiti) na sasa NCCR-Mageuzi na malalamiko ya Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu kuhusiana na dubwasha hili.

Kimsingi sasa UKAWA imekuwa IKAWA kwani itakuwa ni shida nyingine ambayo hata hatujaifikiria sana; kwamba tayari vyama hivi vina migogoro ya ndani kuhusiana na ushiriki wao kwenye UKAWA na wengine kwa maamuzi ya kusimamisha wagombea mbalimbali. Ngoma yote itakuwa chungu pale baada ya Uchaguzi vyovyote itakavyokuwa - wakishinda CHADEMA na wagombea wake au wakishindwa kutakuwa na matokeo kwenye vyama hivi vikuu.

Fikiria kwa mbali tu ije itokee wajaribu kuunda Baraza la Mawaziri...!!!

Wanachama wa vyama hivi huko waliko nina uhakika wanaangalia kwa makini yanayoendelea kwenye vyama vyao; ukimya wao sidhani kama ni woga...

Na Itakuwa IKAWA kweli kweli...

NLD peke yao inaonekana ndio wamenufaika zaidi na dubwasha hili!

MMM

Lowassa chaguo la wengi
 
Kabla yakubwabwaja yooote haya, nafsi yako irudishe kwa Ccm.

Je bado kwaupeo wako unaamini kwamba nikile chama cha wakulima nawafanyakazi??

Ukipata jibu ukajiridhisha ndo ucomment ktk Ukawa.
 
Ndugu Ngorunde, nakuhakikishia ya kuwa baada ya uchaguzi wana Chadema mtakuja kumheshimu MMM, kwa mtazamo,Busara an ukweli wake, Mark my words Lowassa and team will loose the election. Baada ya uchaguzi Ndugu MMM, wana CDM Asilia wakiongozwa na Dr Slaa watakuja kuikomboa Chadema na kusafisha matita yote ya kifisadi Ndani yake. Muwe wavumilivu CDM kitarudishi kwenye misingi yake na kitakombolewa kutoka kwenye mikono ya familia ya mtei, it will truly become the People's party for the first time in its life.

Mkuu nimekuelewa, jambo la muhimu hapa tufanye uchaguzi wa haki na huru...matokeo yaheshimiwe.
Kauli kama zile za m/kiti wenu wa wazazi ndizo zinazotia shaka! Tanzania salama inahitajika hata baada ya uchaguzi.
 
UKAWA.jpg


Dubwasha hili linaundwa na vyama vinne; vitatu kati ya hivyo ni vikubwa na vina historia ndefu tu ya upinzani Tanzania. Nimeliita "dubwasha" siyo kama kejeli bali ni kitu ambacho huwezi kukielezea kikaeleweka. SIyo chama, siyo muungano, siyo umoja ni ushirikiano tu fulani hivi ambao unataka kutuaminisha kuwa unataka kuja kuongoza Taifa. Kwa muda mrefu wapo watu ambao wameushabikia sana kiasi kwamba wanafikiria UKAWA ni kama chama cha siasa fulani hivi au kina mgombea au wagombea katika Uchaguzi. Kumbe UKAWA siyo chama cha siasa na hakina wala hakiwezi kuwa na Ilani, Sera, wagombea n.k.

Lakini ambacho kimethibitika mapema sasa na wengine tumeonya tangu kuundwa kwa hili dubwasha ni kuwa UKAWA unajiandaa kutuletea matatizo; tayari mengine tumeyaona na mengine yameashiriwa tu. Baada ya uongozi wa NCCR-Mageuzi nao kuja na kulalamikia dubwasha hili nimejikuta nikisema kuwa hili sasa siyo tena UKAWA bali ni IKAWA

UKAWA sasa imekuwa ni IKAWA! Vyama vitatu vinavyounda ushirikiano huu wenye mashaka tayari vimekuwa na matatizo na viongozi wao wajuu kisa UKAWA. Imekuwa hivyo kwa CHADEMA - na kuondoka kwa Dr. Slaa - Katibu Mkuu, CUF - kwa Prof. Lipumba (Mwenyekiti) na sasa NCCR-Mageuzi na malalamiko ya Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu kuhusiana na dubwasha hili.

Kimsingi sasa UKAWA imekuwa IKAWA kwani itakuwa ni shida nyingine ambayo hata hatujaifikiria sana; kwamba tayari vyama hivi vina migogoro ya ndani kuhusiana na ushiriki wao kwenye UKAWA na wengine kwa maamuzi ya kusimamisha wagombea mbalimbali. Ngoma yote itakuwa chungu pale baada ya Uchaguzi vyovyote itakavyokuwa - wakishinda CHADEMA na wagombea wake au wakishindwa kutakuwa na matokeo kwenye vyama hivi vikuu.

Fikiria kwa mbali tu ije itokee wajaribu kuunda Baraza la Mawaziri...!!!

Wanachama wa vyama hivi huko waliko nina uhakika wanaangalia kwa makini yanayoendelea kwenye vyama vyao; ukimya wao sidhani kama ni woga...

Na Itakuwa IKAWA kweli kweli...

NLD peke yao inaonekana ndio wamenufaika zaidi na dubwasha hili!

MMM

Uchumia tumbo at work.
 
MMM....stands for Mama Mja Mzito...I gues yuko labor for now. Akishatoka huko baada ya October 25 atapewa taarifa na Mamajusi kuwa Taifa lishakombolewa.

Hatuongozwi kwa mihemuko na fikra binafsi. He is too low to personalize our mind set -for those who are ready for MABADILIKO.
 
Back
Top Bottom