bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 644
Tunaipenda sana Tanzania kuliko unavyofikiria, Tuache na UKAWA yetu, Tunahitaji mabadiliko ya utawala, Tunahitaji
rasmu ya Jaji Warioba irejeshwe ili tupate katiba mpya; haya yote yanawezekana ikiwa watanzania tutazidi kujitambua
kuwafahamisha wale ambao hawajui umaskini tulio nao umetokana na usimamizi mbovu wa resources na utawala wa
kupeena vyeo.
MMM jiulize kwanini nchi kama Kenya inapaa kiuchumi kuliko sisi,? Rwanda wametoka kwenye vita miaka ya 1990s
leo ina ndege zinazopishana kwenda nje ya mipaka ya Rwanda, kwanini ss tumeshindwa?Jiunge nasi kuing'oa ccm
rasmu ya Jaji Warioba irejeshwe ili tupate katiba mpya; haya yote yanawezekana ikiwa watanzania tutazidi kujitambua
kuwafahamisha wale ambao hawajui umaskini tulio nao umetokana na usimamizi mbovu wa resources na utawala wa
kupeena vyeo.
MMM jiulize kwanini nchi kama Kenya inapaa kiuchumi kuliko sisi,? Rwanda wametoka kwenye vita miaka ya 1990s
leo ina ndege zinazopishana kwenda nje ya mipaka ya Rwanda, kwanini ss tumeshindwa?Jiunge nasi kuing'oa ccm