mshamu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 418
- 134
mkuu, ilikuwa inakera kweli. Wassira alikuwa serious wengine walikuwa wanaleta utoto
Ndugu unachokifanya hapa ndicho alichikuwa anakifanya wassira yani analeta hoja mabazo hazieleweki. Serikali mbili wamezitoa wapi? Tatu zipo kwenye rasimu. Kama hawataki kuiamini tume warudie tena kutafuta maoni ili wapate hizo mbili kwanini wanang'ang'ania kuendelea na bunge kutafuta katiba mpya ipi wakati hata katiba ya sasa inaserikali mbili. Na kama ni kuboresha katiba hakuna haja ya kuwa na bunge la katiba? Hebu CCM jitahidi kusoma alama za nyakati. Hii ni Tanzania ya kizazi kingine.