Kwahiyo hizo ndio sababu za kuwafanya waende kujadili rasimu ya ccm na waache ya wananchi eti kwakuwa fedha za wananchi zimetumika?
yaani wewe ni nani haswa unayeharishaharisha kutetea wananchi? Wananchi wanataka katiba waipigie kura na siyo marue rue ya watu wenye njaa Ukawa![/QUOT Kweli wewe ni msukule nani asiye jua kazi yenu ni kuchakachua kama ulivyofanya kwenye mabaraza ya katiba ama mnavyofanya kwenye uchaguzi mkuu nafasi ya kura ipo lazima stage hii muondoe hiyo rasimu ya chama na ijadiliwe ya wananchi bungeni.
yaani wewe ni nani haswa unayeharishaharisha kutetea wananchi? Wananchi wanataka katiba waipigie kura na siyo marue rue ya watu wenye njaa Ukawa![/QUOT Kweli wewe ni msukule nani asiye jua kazi yenu ni kuchakachua kama ulivyofanya kwenye mabaraza ya katiba ama mnavyofanya kwenye uchaguzi mkuu nafasi ya kura ipo lazima stage hii muondoe hiyo rasimu ya chama na ijadiliwe ya wananchi bungeni.
sasa kama kila wakati mnachakachuliwa mna faida gani sasa? Sisi twaona wachakachuaji ndio wenye akili siyo ninyi bongolala kaz kulalama kama mwanamke......
kwahiyo huko walipo ndiko wanajadili katiba ya wananchi? Sijui na hizo gongo zenu!
Si kila aipingae CCM ni mwana ukawa.kila mwanaUkawa aliyechangia ametukana, tuseme sasa ukawa bila matusi hamwezi kuchangia?
UPAWA rudini bungeni katimizeni jukumu lenu kisha sisi wananchi tutaua ktk kura, rudini bungeni mkajenge hoja ili sisi wananchi tupate kuwaelewa vizuri.
Hahaha...ni kamusi gani hiyo?kujiita tu Doppe sishangai comment zako maana doppe maana yake ni bangi.
hata kama hilo litatokea wao wajadiliane then mwisho wa siku tutaamua wananchi piaWewe chizi kweli nani hajui maamuzi yatategemea kula na si maridhiano na hoja kwenye bunge liliojaa makada wa ccm hivyo katiba iliyoletwa na magamba kupita.
Duh we ni mcharuko!!!yote majina ya bangi umeunganisha