UKAWA rudini bungeni, Hatujaona kilichowatoa!

UKAWA rudini bungeni, Hatujaona kilichowatoa!

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Ukawa ni vema mkarudi bungeni, sisi Wananchi kupitia mikutano yenu na midahalo yenu, hatujaona sababu ya msingi iliyowatoa katika mkutano wa bunge. Wala siyo ombi, timizeni wajibu tuliowapeni. Mmeshakula "Advance" kamalizieni kazi.

Tundu Lisu anagonga meza ili CHADEMA waone yupo kazini, hana hoja mahususi.
Ni sawa wameshafanya makosa kwa kutoka kwao na wameshagundua waliyoyapanga hayakufanikiwa, ni vema wakarudi tu wala wasione aibu, kuteleza siyo kuanguka.
 
Ukawa ni vema mkarudi bungeni, sisi Wananchi kupitia mikutano yenu na midahalo yenu, hatujaona sababu ya msingi iliyowatoa katika mkutano wa bunge. Wala siyo ombi, timizeni wajibu tuliowapeni. Mmeshakula "Advance" kamalizieni kazi.

Hapo ulipo umepakatwa?
 
Ukweli ndio huo. Jana mdahalo umewa expose sana. Wanarudia maneno yaleyale. Hoja zero. Walioeleweka pekee jana ni polepole na wassira. Misukule imebaki kumwaga matusi tu
 
Ukawa ni vema mkarudi bungeni, sisi Wananchi kupitia mikutano yenu na midahalo yenu, hatujaona sababu ya msingi iliyowatoa katika mkutano wa bunge. Wala siyo ombi, timizeni wajibu tuliowapeni. Mmeshakula "Advance" kamalizieni kazi.

Kapime ugonjwa wa akili....
 
Ukweli ndio huo. Jana mdahalo umewa expose sana. Wanarudia maneno yaleyale. Hoja zero. Walioeleweka pekee jana ni polepole na wassira. Misukule imebaki kumwaga matusi tu

Umejitahidi kuandika...

CCM jana ilivuliwa nguo...Ni aibu tupu Wassira kaileta...
 
Ukweli ndio huo. Jana mdahalo umewa expose sana. Wanarudia maneno yaleyale. Hoja zero. Walioeleweka pekee jana ni polepole na wassira. Misukule imebaki kumwaga matusi tu

kweli mkuu hata huku naona ni matusi tu! Waandike katiba ya matusi ndo wanaweza.
 
Ombi: Ni bora CCM irudie ule utaratibu wake wa kutokuudhria midahala...

Wassira jana alikuwa afe kwa pressure....Badala ya kuleta hoja alianza ubabe na vitisho..
 
Ukweli ndio huo. Jana mdahalo umewa expose sana. Wanarudia maneno yaleyale. Hoja zero. Walioeleweka pekee jana ni polepole na wassira. Misukule imebaki kumwaga matusi tu
Poleple alisema nini. Mbona unaongea kama zuzuz
 
Ha ha ha.....Ule mjadala ungendelea kwa dakika 15 Wassira angeweza kupata stroke na kufa pale pale..

Wassira jembe, kawagaragaza raisi wa Cuf, na mwanasheria wa Cdm. Mwanzo mwisho wamepwaya kwenye buti la Wassira
 
Ukawa ni vema mkarudi bungeni, sisi Wananchi kupitia mikutano yenu na midahalo yenu, hatujaona sababu ya msingi iliyowatoa katika mkutano wa bunge. Wala siyo ombi, timizeni wajibu tuliowapeni. Mmeshakula "Advance" kamalizieni kazi.

Acha ushabili sema mimi sio sisi umeshirikiana na nani kuandaa huu u.p.u.u.z.I.iiiiiii
 
Ombi: Ni bora CCM irudie ule utaratibu wake wa kutokuudhria midahala...

Wassira jana alikuwa afe kwa pressure....Badala ya kuleta hoja alianza ubabe na vitisho..

Vitaje mkuu, na wewe usigonge meza kama Lisu ili mteja wako aone upo kazini.
 
Ombi: Ni bora CCM irudie ule utaratibu wake wa kutokuudhria midahala...

Wassira jana alikuwa afe kwa pressure....Badala ya kuleta hoja alianza ubabe na vitisho..

Isingekuwa huruma ya MC wasira angeaibika sana.
 
Ukweli ndio huo. Jana mdahalo umewa expose sana. Wanarudia maneno yaleyale. Hoja zero. Walioeleweka pekee jana ni polepole na wassira. Misukule imebaki kumwaga matusi tu

pole endelea kuota ila watanzania wana macho na masikio wameona na kusikia kinachoendelea na watafanya uamuzi sahihi muda ukifika
 
Back
Top Bottom