DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Jana Wassira kawaumbua kweli. Wamebaki wanabwabwaja tu
Mabilioni yametumika kutafuta maoni ya wananchi.
Sasa mbona mnakuwa vipofu kusigina maoni ya wananchi?
MWENYE HAKI UKAWA anatambulika vyema kubeba bendera ya wazalendo.